Serious man needed baadae awe mume

Kweli Hamy-D huyu dada inawezekana ndiyo sababu ex wake alimwacha na akaamua kutembea na rafiki yake!!!! Hakuna mwanaume wa sasa hivi atakayekubali akae na mwanamke kwenye uchumba tuuuu bila kula mzingo!!


Wenye kuelewa wanakuja pm najushangaa unavohangaika kuongea kisichokuhusu pita
 
Habari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam

Pm kwa maelezo zaidi
 
Mie nimekamilisha vigezo vyote. Ila sasa ishu ya dini. Mie mkristo.

Upo tayari kubadili dini?
Upo tayari kuhamia nilipo?(Dom)
Kama sawa nicheki
 
Pole yako, woawaji wa kweli hutowaona yaani utumike kwanza halafu sasa hivi ndio uweke masharti ya ku do ili uuze mbuzi kwenye gunia sidhani kama kwenye dunia ya sasa kuna mjiga wa kiasi hicho, ila watakuja unaowataka usisahau mrejesho mkuu

Kuna wanawake ukiwafikiria sana unaweza toa machozi kwa kuwaonea huruma na hapo usikute na mtoto anaye alafu anakwambia mzigo mpaka ndoa!!
 
Duh!!!...Nimekosa hiyo sifa namba nane!!....Dada hiyo sifa namba nane hiyo!! ......Hakika itakukosesha mume!
 
Niliwahi kukutana na mdada kama wewe, tukakubaliana bila kufanya ngono kwa mwaka na miezi kadhaa, ila baadae nikagundua ana mawasiliano machafu na vidume, yaani hata simu yake hakutaka niishike, baada ya kumkanya akanambia nisimtafute hadi atakaponitafuta (alinitafuta baadae nikamwambia nina mwingine) ikumbukwe kuwa tulikubaliana niende kwa wazazi wake miezi hiyohiyo aliyonikataa, ok nikapata mdada mwingine na maisha yanaendelea kwa neema ya Bwana.
 
Tatizo huyo wa kwanza kala papuch weeeeeeeee,wa sasa unamnyima mpaka ndoa,ungeanza kumnyima wa kwanza ningekusoma
Mimi simlaumu huyu binti nitamcheka huyo fala atakaye kubali kuisubiria hadi ndoa hiyo papuchi iliyotinduliwa hadi kupoteza muonekano wake wa asili

Hata dawa mtu unashauriwa u shake well before use
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom