Troublemaker
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 19,866
- 38,475
dah namba tano hapo kwenye urefu nimefail. me ni mrefu sana
Yan ckuiz mwanaume anatafutwa kama bafasi za kazi jaman.....
Ambae yuko serious wala hawezi kuuliza hilo swali
Hili sharti gumu sana, nadhani ni pande zote sio upande mmoja, kila mtu anakuja na mawazo yake kwahio lazima uwe mpole mkubaliane8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Basi sawa masharti yako magumu kidogoNishajibu 26
Join date siwezi kuifumbia macho. Hio namba 8 kwa kifupi anajaribu kusema kama una convincing power ya kutosha utakula mzigo otherwise angesema ni mpaka ndoa no buts!RRONDO unasemaje hapa..
Yaani mimi nimekidhi vigezo vyake vyote isipokuwa namba 8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Ila yeye hajakidhi vigezo vyangu vingiiii...
labda yuaweza kukufaa ukifumbia macho kigezo cha muda wa kujiunga!
Najua wote ndo mnachokitafuta, hapa bila bila
Join date siwezi kuifumbia macho. Hio namba 8 kwa kifupi anajaribu kusema kama una convincing power ya kutosha utakula mzigo otherwise angesema ni mpaka ndoa no buts!
We waliowahi kua nawewe umewapa huyu Mme mtarajiwa unataka usimpeKwa aliye serious wala hata sio kigumu
VitajeNaomba unitafute mimi vigezo vyote nimekubali vigezo na masharti kuzingatiwa ila je na mimi vigezo vyangu utavifata
Mbona kawaidaBasi sawa masharti yako magumu kidogo
Mnajitekenya afu huku mnacheka wenyewwJoin date siwezi kuifumbia macho. Hio namba 8 kwa kifupi anajaribu kusema kama una convincing power ya kutosha utakula mzigo otherwise angesema ni mpaka ndoa no buts!
SinaHebu tumuulize: eti miss charming ID yako ya zamani ni ipi? kama huwezi kuitaja hapa walau niambie PM.
Sina