mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Hyo ya kusema hakuna kula mzigo mpaka ndoa yaani ni kama unajaribu kulazimisha ndoa hv kwa kigezo cha kutokutoa mzigo wakati ndo ni matokeo tuMbona kawaida
Hyo ya kusema hakuna kula mzigo mpaka ndoa yaani ni kama unajaribu kulazimisha ndoa hv kwa kigezo cha kutokutoa mzigo wakati ndo ni matokeo tuMbona kawaida
haahhahaha,mwenzio ametoa Vigezo vyake hapo,utakosa mke ujue lol...........Hyo ya kusema hakuna kula mzigo mpaka ndoa yaani ni kama unajaribu kulazimisha ndoa hv kwa kigezo cha kutokutoa mzigo wakati ndo ni matokeo tu
Hajaona watu wanavishwa mpaka pete akitoa tu mzigo taratibu jamaa anaingia mitini.haahhahaha,mwenzio ametoa Vigezo vyake hapo,utakosa mke ujue lol...........
Mpe moyo mwenzio jamani,muombe Dua ampate mwenye kheir na yeye wawe na masikizano..Hajaona watu wanavishwa mpaka pete akitoa tu mzigo taratibu jamaa anaingia mitini.
hahahhahaha.......kumbe badae..na sio saizi natangaza niaHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
kwanza huko ni kutokujiamini kwamba either kuna kaudhaifu fulani kapo akitoa mzigo huo udhaifu utajulikana kwahyo anaamini mkishafunga ndoa hata ukijua huo udhaifu atasema tu tuvumiliane mme wangu sisi ni mwili mmojaHajaona watu wanavishwa mpaka pete akitoa tu mzigo taratibu jamaa anaingia mitini.
Vigezo vyote ninavyo hapo rangi tu ndo imeniangusha kaaah nishakosa mke ivi iviHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
Best wishesHabari zenu wote.. Ikiwa imetimia mwaka mmoja bila kuwa na mahusiano tangu niachane na mwanaume ambae nilimfumania na rafiki yangu na kupelekea kuachana nimeamua sasa kuingia rasmi kwenye relationship na mwanaume naemuhitaji kwanza;
1.Awe mchamungu
2.awe mpole kiasi
3.awe tayari kupima
4.awe na elimu ya juu kidogo kuliko maana mm Nina diploma
5. Mrefu kiasi mweupe kiasi au maji ya kunde asiwe mweusi sana
6. Awe anajielewa Mwenye future, vision na awe na Kazi inayomwingizia kipato
7. Miaka 28-35
8. Awe tayari kutofanya mapenzi mpaka tufunge ndoa au mpaka nitakapojiridhisha kwamba yeah he deserves to be my future hubby.
Mwisho wa yote awe na mapenzi ya dhati na ambae atajifanya analeta janjajanja asijisumbue Kabisa ..
Sifa zangu mom
1. Maji ya kunde
2. Elimu diploma
3. Nimeajiliwa
4. Dini muislam
Pm kwa maelezo zaidi
Kafie mbele huko hujaombwa kuchangiaHapo ndipo mnapokosa waume wa kuoa. Eti unipi tunda mpaka ujiridhishe!!! Badala ufikirie kunipa show la maana ili unidatishe niwe nakuwaza wewe.....eti wewe umelenga kubana huduma!? Kwahiyo sasa tutakuwa tunafanya shughuli gani wakati wote huo.....Kushirikishana umbea au?
Fanya tafiti ujue wenzako wanaoolewa wameolewa kwa mbinu gani....Hii yako ya kubana papuchi haijawahi kuzaa matunda.
Juzi tu nimetoka kwenye harusi ya jamaa yangu mmoja....Alisema LIVE kuwa sababu ya yeye kumuoa mke wake, mbali na mambo mengine, ni kupatiwa show la maana....Sasa wewe mbanaji sijui utaolewa na nani....Labda babu la miaka 90 huko.
Basi mi nafunga dua ukose mtu mpaka mwakani. Mimi nitakuja PM kwako mwenyewe.
Haaaa haaaa haaaa.....anataka akulainishe ili utoe Papuchi!Kafie mbele huko hujaombwa kuchangia
Umeonaeee alifikiri mm kilaza kama yeye yaani hicho kigezo wengi watachemka and that's y nimekiekaHaaaa haaaa haaaa.....anataka akulainishe ili utoe Papuchi!
Mfyuuuuu zake!
InshallahAllah akupe hitaji la moyo wako
Hapo ndipo mnapokosa waume wa kuoa. Eti unipi tunda mpaka ujiridhishe!!! Badala ufikirie kunipa show la maana ili unidatishe niwe nakuwaza wewe.....eti wewe umelenga kubana huduma!? Kwahiyo sasa tutakuwa tunafanya shughuli gani wakati wote huo.....Kushirikishana umbea au?
Fanya tafiti ujue wenzako wanaoolewa wameolewa kwa mbinu gani....Hii yako ya kubana papuchi haijawahi kuzaa matunda.
Juzi tu nimetoka kwenye harusi ya jamaa yangu mmoja....Alisema LIVE kuwa sababu ya yeye kumuoa mke wake, mbali na mambo mengine, ni kupatiwa show la maana....Sasa wewe mbanaji sijui utaolewa na nani....Labda babu la miaka 90 huko.