Abuu hanifa
JF-Expert Member
- Aug 17, 2021
- 256
- 274
Magu alisema unataka serikali ikulishe. Lkn ukweli ni kuwa ukiwa na serikali inayoamini ktk uchumi wa kodi badala ya uzalishaji lzm tupitie maumivu haya. Binafsi Nina mifano hai. Nazi inayouzwa dar sh 1500 mwenye shamba anaiuza kwa sh 250 hadi 300 Lindi.Watawala ndiyo chanzo cha ugumu wa maisha kwasababu hawasemi ukweli
Fenesi linalouzwa dar 4000 mkulima anauuza sh 500 hadi 1000 shambani morogoro. Usidhanitofauti ya pesa iliopo ni ya walanguzi au madalali. Laa tofauti ya pesa inakwenda serikalini kupitia tozo na kodi na ushuru katika diesel.
Kwa ni diesel ibayouzwa sh 2900/- gharama hadi inafika kwa muuzaji ni sh 1300/- kwa Lita.
Kwa ufupi serikali ikiamua kutoa sh 700 kwa kila Lita ya mafuta utaleta unafuu mkubwa kutuondolea wananchi ugumu wa maisha. Lkn kubwa serikali itakusanya kodi zaidi indirect tax. Kwani samaki watapungua bei, wavuvi wataongezeka, vyakula vitapungua bei lkn wakulima wataiza na kununua pia vitu vingine. Hivyo hivyo kwa sekta zote. Tatizo la kwanza ni diesel. Ambapo kodi take inapaswa kukuswanya baada ya uzalishaji kufanyika na sio kabla yq