jingalao JF-Expert Member Oct 12, 2011 35,053 28,245 Jul 30, 2014 #541 Hawa vijana walimaliza vyuo vyao salama au la.kama walimaliza hawajakumbuka kushukuru?kama bado ina maana hii vita inayoendelea imewakumba? KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Hawa vijana walimaliza vyuo vyao salama au la.kama walimaliza hawajakumbuka kushukuru?kama bado ina maana hii vita inayoendelea imewakumba? KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
meningitis JF-Expert Member Nov 17, 2010 8,349 4,674 Jul 30, 2014 #542 wanafunzi wanaosoma ukraine wapata majanga sana.
R rolla JF-Expert Member Apr 20, 2013 2,268 1,195 Jul 31, 2014 #543 sehemu nyingine ni shwali nimetoka huko leo. na wiki ijayo nina ishu kiev narudi.