nashangaaNa kuna mtu alishasema serikali ina mihela kibao ya kununulia
Acha kulalamika. mkuu alisema jeshi lipo watabangua hata kwa meno huu ndio muda sasa waende.kelele za nini? Ebotatizo lako huwa unaangalia upande mmoja na kuwaza negativity kwa taifa lako,umeshindwa kukumbuka kuwa wafanyabiashara walikubali wenyewe kuwa watanunua kwa bei isiyopungua 3000 hadi leo wamenunua korosho kidogo huku wakulima wakiwa hawajui hatima yao.
Unataka serikali iendelee kuwachekea watu ambao hawaeleweki kama watanunua korosho au hamna?ndio maana serikali imewataka waeleze watanunua tani ngapi ili serikali ijue inawasaidiaje wakukima.
Kama walijua hawawezi kununua kwa nini walikubali kwamba watanunua kwa bei isiyopungua 3000?
silalamiki Mkuu, ila lawama zangu naziweka kwa wafanyabiasha kwanini walikubali kwamba watanunua,au waliogopa kukataa mbele ya Rais?Acha kulalamika. mkuu alisema jeshi lipo watabangua hata kwa meno huu ndio muda sasa waende.kelele za nini? Ebo
Kama alivyosema rais wetu... serekali itanunua hizo korosho kwa bei yenye tija kwa wakulima na itapeleka yenyewe kwenye masoko .... China na kwinginekoSasa tuambie hapa Serikali iingilie vipi ili kuepusha huo ulanguzi?
Waliamua kukaa kimya kuepusha Shari mkubwa habishiwi mkuu.silalamiki Mkuu, ila lawama zangu naziweka kwa wafanyabiasha kwanini walikubali kwamba watanunua,au waliogopa kukataa mbele ya Rais?
Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu na anayefuatilia vizuri siasa za nchi yetu na Afrika mashariki kwa ujumla asiyejua sababu za kushuka kwa bei za mazao!yes, leta sababu za kushuka kwa bei ya mahindi.
Hapa nafikiri kuna watu wanaamini hakuna korosho sehemu nyingine huko duniani.
basi kosa ni lao sio la serikaliWaliamua kukaa kimya kuepusha Shari mkubwa habishiwi mkuu.
ni ngumu kukataa moja kwa moja mbele ya mkuu wa nchi,,,so walikubali shingo upande ili watoke salama.silalamiki Mkuu, ila lawama zangu naziweka kwa wafanyabiasha kwanini walikubali kwamba watanunua,au waliogopa kukataa mbele ya Rais?
ushajiuliza kwanini mwalimu humuuliza mwanafunzi swaki ambalo yeye mwalimu analijua?Sidhani kama kuna mtu mwenye akili timamu na anayefuatilia vizuri siasa za nchi yetu na Afrika mashariki kwa ujumla asiyejua sababu za kushuka kwa bei za mazao!
Kila mwenye akili timamu anajua vema!!!
Mimi sio mwanafunzi wako mkuu!!ushajiuliza kwanini mwalimu humuuliza mwanafunzi swaki ambalo yeye mwalimu analijua?
ahaa eti watoke salama kwa hiyo waliogopa kukataa kwa kuhofia mkongoto kutoka kikosi rasmi cha ikulu?ni ngumu kukataa moja kwa moja mbele ya mkuu wa nchi,,,so walikubali shingo upande ili watoke salama.
basi kosa ni lao sio la serikali
wanaweza kumtafuta kinara halafu wakaanza kumsakama kimyakimyaahaa eti watoke salama kwa hiyo waliogopa kukataa kwa kuhofia mkongoto kutoka kikosi rasmi cha ikulu?
Duh kweli tupu kabisa aiseeeeekwa hisani ya Sikwangalasyene ..........
1. hali za wakulima zinatia simanzi. Masoko ya mazao ya wakulima yamevurugwa
2. wafanyakazi hawakopesheki kwa kuwa hawajaongezewa mishahara kwa miaka mitatu mfululizo hivyo kutokidhi vigezo vya makato
3. biashara zimevurugwa
4. kodi inakusanywa kwa vitisho
5. biashara kama enzi za ukoloni
6. hakuna uwazi kwenye manunuzi (Ndege zimenunuliwa pasipo kufuata taratibu)
7. kuna double standard kwenye kuwajibisha watumishi (Upendeleo)
8. vyombo vya habari havipo huru tena
9. wananchi wamenyimwa haki ya mijadala ya wazi
10. serikali haipo radhi kukosolewa
11. kila mwenye mamlaka ana kauli ya mwisho (Wakuu wa Wilaya na Mikoa wamekuwa kero)
12. upotoshaji kwenye hali ya uchumi wa nchi ni mkubwa
13. 1.5 trillion hazina maelezo (Kuna wizi na ufisadi mkubwa kuwahi kutokea)
14. polisi wanafanya kazi za CCM na si kwa maslahi ya wananchi
15. usalama wa viongozi ni kipaumbele na si usalama wa nchi
16. Traffic police wanakusanya kodi badala ya kuimarisha usalama barabarani
ahaaa noma sanawanaweza kumtafuta kinara halafu wakaanza kumsakama kimyakimya