Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,481
- 3,991
NINJAMBO JEMA SERIKALI KUTOKUYUMBISHWA ILA UBABE HAUNA NAFASI KWENYE FREE MARKET NA MAANA YA BIASHARA NI FAIDA KAMA HAKUNA FAIDA HAKUNA ATAKAYENUNUA ndo maana tunasa mambo haya yanahitaji sera zenye kulinda wakulima na si tu wa korosho mahindi yetu yameshuka bei hadi tsh 3000 kwa debe sawa na kilo ya sukari hakuna anayewatetea wakulima mbaazi ndo usiseme kila kg 1 ni tsh 200, tunapofanya siasa tuwe tu acheck and balanceNafurahi Sana nazidi kupata matumaini kuona serikali yangu haiyumbishwi
Safi Sana walizoea..na huu NI ujumbe tosha kwa vikundi vingine vinavyoamini vina nguvu kuliko ofisi ya Rais
Wawe wauza madawa ya kulevya,wawe Wala ruzuku,wawe wafadhili wa mashoga,wawe waaandishi mankanjanja wote wakae wakijua awamu hii iko on fire walete tu vichwa vyao uone Magufuli anavyovikata kwa shoka