mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
Rais John Pombe Magufuli ametoa muda mpaka leo jioni kwa Mawazri wa 4 na Naibu waziri 1 ambao hawajarejesha fomu kwa Sekretarieti ya maadili kwa ajili ya kuanisha mali na madeni wanayodaiwa ambapo wamepewa muda mpaka saa 12 wawe wamesharejesha fomu hizo.
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewataja majina mawaziri hao kuwa ni
Agustine Mahiga
Charles Kitwanga,
January Makamba,
Joyce Ndali Chako na
Naibu waziri Mh.Luhaga Mpina.
=======
Jana nilikabidhiwa majina ya mawaziri na manaibu mawaziri ambao hawakuweza kurudisha fomu zote mbili au fomu moja
.
Hao wengine bila shaka hawakujua taratibu isipokuwa Januar Makamba ambaye alikuwa ktk baraza la mawaziri lililopita na anajua kuwa huo ni utaratibu wa kawaida. Hivi ndg wasomaji wa JF tangu utaratibu huu umeanza kutumika nchini mlishawahi kusikia kiongozi aliyewajibishwa kwa kujirimbikizia mali?