nyakahanga
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 240
- 56
ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA MAFUNZO MAALUMU REKEBISHI
(BRIDGING COURSE) YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI KATIKA CHUO CHA UALIMU MONDULI
MWAKA WA MASOMO 2014/2015.
Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya wanatakiwa kuripoti Chuo
cha Ualimu Monduli kuanzia tarehe
14/07/2014 hadi 15/07/2014.
MAELEKEZO MUHIMU
Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:-
1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato cha NNE na SITA;
2. Sare ya Chuo (Shati/Blauzi nyeupe mikono
mirefu:Suruali/sketi: koti na tai rangi ya dark blue); na
3. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe 18/07/2014 saa 12.00 jioni.
Kuona majina pitia hapa www.moe.go.tz/indexphp?option=com_c...rekebishi-bridging-course&catid=1:latest-news
(BRIDGING COURSE) YA UALIMU NGAZI YA STASHAHADA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI KATIKA CHUO CHA UALIMU MONDULI
MWAKA WA MASOMO 2014/2015.
Wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo haya wanatakiwa kuripoti Chuo
cha Ualimu Monduli kuanzia tarehe
14/07/2014 hadi 15/07/2014.
MAELEKEZO MUHIMU
Wanafunzi wanatakiwa kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:-
1. Vyeti halisi vya Baraza la Mitihani la Tanzania vya Kidato cha NNE na SITA;
2. Sare ya Chuo (Shati/Blauzi nyeupe mikono
mirefu:Suruali/sketi: koti na tai rangi ya dark blue); na
3. Fedha za tahadhari chuoni na matumizi binafsi.
Usajili wa waliochaguliwa kujiunga na Mafunzo utafungwa terehe 18/07/2014 saa 12.00 jioni.
Kuona majina pitia hapa www.moe.go.tz/indexphp?option=com_c...rekebishi-bridging-course&catid=1:latest-news