nkuwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2013
- 4,771
- 5,315
by ifweero;
Ukweli ni huu acheni upotoshaji...mods tafadhali pandisheni hii post ku balance habari hii
Serikali yashinda kesi ya samaki wa Magufuli
hatimaye serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu(wale wachina waliokamatwa na meli ikiwa imejaa shehena ya samaki)
Leo mchana serikali imeshinda kesi hiyo...na hukumu ilikuwa hivi:
Watuhumiwa wawili ndio wamekutwa na hatia,wengine wameachiwa huru.
Hawa wawili waliokutwa na hatia mmoja inatakiwa alipe billlion 21 za kitanzania au kwenda jera miaka 20.
Mwingine naye alipe billion 1 au kwenda jera miaka kumi pia ile meli iliyokamatwa, hakimu ameridhia ombi la mawakili wa serikali kuwa itaifishwe na iwe mali ya serikali ya Tanzania. (kwa sasa ile meli ipo hapa nchini, na sehemu iliyopo imeshaanza kuzama....hivyo basi nijukumu la serikali kuhakikisha meli hiyo ama inatengenezwa ama inauzwa mapema iwezekanavyo.
You and mooduke like this.
ifweero huna akili hili bandiko lako ni la TUNTEMEKE la 2012 unalileta tena hapa leo?
Acha Ujinga ww!
Ukweli ni huu acheni upotoshaji...mods tafadhali pandisheni hii post ku balance habari hii
Serikali yashinda kesi ya samaki wa Magufuli
hatimaye serikali imeshinda kesi dhidi ya wavuvi haramu(wale wachina waliokamatwa na meli ikiwa imejaa shehena ya samaki)
Leo mchana serikali imeshinda kesi hiyo...na hukumu ilikuwa hivi:
Watuhumiwa wawili ndio wamekutwa na hatia,wengine wameachiwa huru.
Hawa wawili waliokutwa na hatia mmoja inatakiwa alipe billlion 21 za kitanzania au kwenda jera miaka 20.
Mwingine naye alipe billion 1 au kwenda jera miaka kumi pia ile meli iliyokamatwa, hakimu ameridhia ombi la mawakili wa serikali kuwa itaifishwe na iwe mali ya serikali ya Tanzania. (kwa sasa ile meli ipo hapa nchini, na sehemu iliyopo imeshaanza kuzama....hivyo basi nijukumu la serikali kuhakikisha meli hiyo ama inatengenezwa ama inauzwa mapema iwezekanavyo.
You and mooduke like this.
ifweero huna akili hili bandiko lako ni la TUNTEMEKE la 2012 unalileta tena hapa leo?
Acha Ujinga ww!
Last edited by a moderator: