Hairuhusiwi kujadiliwa, viache vyombo vya kisheria vinashughulikia
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?
|
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?
Mbona unazuia kujadili maslahi ya wafanyakazi ama wewe ndugu yangu hujui vyombo vya sheria vya TZ ni vya kulinda maslahi ya tabaka fulani? Usizuie hoja nzito kama hizi ndugu tafadhali tafadhali maana machungu ya KODI twayajua sie banaHairuhusiwi kujadiliwa, viache vyombo vya kisheria vinashughulikia
Rungu la KODI kwa wafanyakazi limerejeshwa tena kinyemela bila hata kutangazwa na waziri wa fedha kwenye hotuba ya bajeti! Allwance zote zitakatwa kodi kama zamani na TRA tayari wameanza kusambaza majedwali yenye kanuni mpya ya kufyeka mishahara ya watumishi wa serikali na mashirika yake bila hata huruma! Danganya toto ya kupandisha mishahara itaishia kwenye mlolongo wa makodi katika kila bidhaa na mfumuko wa bei ambao hadi hii leo BOT hawana takwimu halisi! Tunakwenda wp?
sasa huyo ng'ombe anaye kamuliwa maziwa,siatakamuliwa mpaka damu sasa?payee juu ;sasa posho nazo wanakata kodi.