SERIKALI yanyang'anya ukumbi wa STARLIGHT ambao ulikwishalipiwa na MADAKTARI

There is something jamii ya Fyokofyo hawaielewi, if Dr. attend their offices tomorrow basi itakuwa even a bgger disaster sababu ya "go-slow"
 
acha mambo yako na kujifanya sio mtanzania kisa umepata loophole ya kufaidi kodi ya watanzania bila kuhojiwa. Kimsingi mdakitari wanahoja sahihi kwa wakati sahihi, vitisho na kukandamiza haki kamwe si suluhu ya kuinusuru serikali ya magamba.
Hiyo mikutano yao kwa sasa ni haramu, imeshapigwa marufuku na Serikali, Ilikuwa wakutane na Waziri Mkuu leo, kilichowafaya wasiende ni nini?
 
Hao madaktari wasifikiri wao ndio wanatoa uhai. Kwanza wengi wao ni interns, sasa watajuwa kuwa Serikali ina mkono mrefu.

FF mbona interns kupitia tamko la serikali pale Starlight jana lilisema ma interns walioondolewa Muhimbili wote warudi kazini na haki zao watapewa.
 
Msikusanyike mahali popote bakini majumbani kwenu wekeni extreme ya SMS kisha muwe mnawasiliana. Hakuna sababu ya kubishana na watu wasio na upeo wa kutatua mambo, Nangojea siku hao FFU wakigoma sijui nani ataenda kuzuia mgomo?

ffu majinga yote. Hela yenyewe yanalipwa ndogo, huduma mbovu tatizo sijui ni elimu zao hata sielewi
 
Na kesho kama hawakwenda vituoni ndio wamejifukuzisha kazi. Namuunga mkono Pinda mia kwa mia.

Tena wasipewe leseni kabisa za kufanya hizyo hapa Tanzania, wakatafute pakufanyia au wakalime, hiyo kazi hawaiwezi kabisa.
Kweli mama? Una ubongo wewe?wakishaenda kulima. Je sisi wagonjwa twende wapi?au tusubiri kuvuna? Kweli nimetambua una roho mbaya sana. Roho mbaya sana hasa hasa kwa mwanamke anayestahili kuitwa Mama!
 
Serikali imeendelea kuongeza juhudi zake za kuwabana madaktari na sasa imenyang'anya ukumbi wa starlight
na wameamua kuulinda na FFU kama walivyowahamisha pale Don Bosco na kumbi zingine za Korean Culture na
Diamond ili kuendeleza juhudi zake za kukandamiza wananchi wake ndani ya nchi yao.

In this fracas neither Govt nor Doctors are going to lose. The big losers are people with illness today tomorrow and in the future. Doctors have upper hand on this fracas but Govt have tools to twist the truth of the outcome. They may order all businesses not to allow their venue being used for Doctors meetings, they may succeed to intimidate businesses but they will not succeed to win the hearts and minds of those who dedicated their lives to save lives of others.

Doctors need Public support on this; we should not be swayed by govt propaganda on this fracas. I urge civil societies to stand by Doctors that is the only way to stop people of illness today or in the future lost. Otherwise Doctors are right and Government is wrong. This should be a starting point to let rulers know that they are there for people and peoples' lives should be given the highest priority in any circumstance. Government giving in to Doctors does not mean they have been defeated but they show that they are for people.

Any action to expel doctors will come at the cost of the Government itself. This is one of those challenges where leadership is required and not dictatorship.
 
pinda hana akili kabisa huyu....
Posho za wabunge zimetoka kwenye budget ipi?

Pumbaf!!

Wakati doctors wana-seek audience na serikali, serikali ilikiwa likizo. Sasa hivi wanachukua masaa matatu kueleza utumbo wao hapa.
 
Kama ni kweli wamezuiwa nadhani serikali inatumia nguvu nyingi za bure kwa jambo dogo. Kwa sababu kuzuia mikutano si kuwafanya watoe huduma!! Isitoshe maamuzi kama haya ndiyo yanayoifanya ionekane kuwa ina makosa.
 
pinda hana akili kabisa huyu....
Posho za wabunge zimetoka kwenye budget ipi?

Pumbaf!!

Wakati doctors wana-seek audience na serikali, serikali ilikiwa likizo. Sasa hivi wanachukua masaa matatu kueleza utumbo wao hapa.

Hahahahahaha Dah! ilikuwa ni ile ya ziada ambayo imekwisha.
Hata hivyo kwa kuwa ni dharura ya muhimu basi wapunguze posho angalau kutoa nusu yake! si ni dharura?!
 
kutaneni majumbani kwenu kama kuna mmjoja wenu ananyumba yenye eneo, msikate tamaa mpaka kieleweke

Kama serikali inadhani kwa kuzuia madaktari wasiruhusiwe kukutana kwenye kumbi ndio dawa, hii ndio serikali ya abunuwasi kwani haina hata fikara kuwa hawa madaktari wasomi na kila mmoja wao mpaka sasa ana simu ya mkononi kwahiyo wanaweza kuwasiliana na kupeana habari kwa njia ya simu bila ya kukutana na wakafanikisha mikakati yao!! They do not even follow the world events to know how the Arab spring succeeded!! Madaktari pashaneni habari kwa kutumia simu na internet basi.
 
Hakuna kazi isiyo na sulubu zake, ndio maana inaitwa kazi. Wao ndio kazi yao na wewe unaweza kuwa unaona ya kutisha wao wanaona ni kawaida tu.

Lakini hili la kufanya dharau kwa Serikali, hatuliungi mkono hata kidogo, wangekwenda kusikiliza kama hawajaridhika wangesema hilo hapana, ndio mambo yanavyokwenda, sio kususa, wanasusa nini? hawajajifunza kutoka kwa wasusaji wakuu walipoamuwa kususuka?

Kwani Pinda kajua lini mgomo wa madaktari? Jmosi jioni? au yeye ndo mwenye haki ya kudharau wananchi. Hivi yeye akiambiwa akadungwe sindano au akapasuliwe na Dr aliyelazimishwa kumpasua atakubali? au kwa kuwa watakaotibiwa sio ndugu zake?
Serikali inajidharilisha yenyewe halafu inawapa kazi akina FF kuitetea humu JF. By the way dharau ya madaktari hamuiungi mkono na nani? ....ww, MS, Rejao na Ritz?
 
Madaktari walishadai Nyoni; Mponda; Nkya na Mtasiwa waondelewe! Kama serikali ipo tayari kusikiliza na kushughulikia madai yao mbona hilo lililo rahisi kuliko yote haijalitolea majibu. Mbona hawajasema kama watawaondoa au la na badala yake inang'ang'ania Madaktari watume wawakilishi kujadiliana? wanaenda kujadili nini?. Kwanza ianze kwa kutolea maamuzi hilo dai kisha mengine ya kurudi kazini na kutuma wawakilishi yafuate. HIZI SIASA UCHWARA ZINAZOFANYWA NA MAWAZIRI WA JK LAZIMA ZIFIKE UKOMO SASA NA SI BAADAYE!! DAKTARI ATAKAYETII HILO AGIZO HARAMU LA PINDA AJUE NI JUHA NA AMELAANIWA!!!!
Issue ya madaktari iangaliwe katika mitizamo miwili, tunahitaji madaktari kuokoa maisha ya wagonjwa wetu na pili wanatakiwa kusikilizwa kuhusu madai yao. Pinda yuko sahihi kuwaambia warudi sehemu zao za kazi na matatizo yao yatafanyiwa kazi kupitia viongozi wao, sasa madaktari wanatakiwa kusikiliza kiongozi wao anasema nini! Kama kiongozi anakubaliana na serikali na wamewekeana muda wa kutatua hili tatizo, kama halitafanyiwa kazi hapo wanaweza kuendeleza mgomo. Sidhani kama ni busara wazidi kushinikiza serikali ili hali wagonjwa wanakosa tiba hata kufariki. Kama Pinda ametoa vitisho kweli basi hatakuwa na busara hata kidogo katika kutatua matatizo, na kuweka FFU siyo sahihi kama watakuwa wanajadiliana kuhusu yaliyotokea leo au kumsikiliza kiongozi siyo tatizo. Uchumi wa nchi uko vibaya na serikali haina hela, yote haya si waziri mkuu au raisi kusema walipwe sijui 3.5m hii inatakiwa wizara muhimu kama utumishi, fedha, afya, hazina sikae chini na kuona kama revenues, government spending zitakuwa sustainable... wanaosema raisi anatumia milioni 300 kwa safari madaktari wangepewa, leo wakipewa mwezi kesho zitatoka wapi? ya wabunge si issue ya leo walishakaa chini na wakajua hela itatoka wapi. UCHUMI MBAYA NA SERIKALI HAINA HELA, mambo yakiendelea hivi tutaingia kwenye hatua ambayo hata hao wanaolipwa kidogo hawatapa. Mungu ibariki Tanzania.
 
Kama serikali inadhani kwa kuzuia madaktari wasiruhusiwe kukutana kwenye kumbi ndio dawa, hii ndio serikali ya abunuwasi kwani haina hata fikara kuwa hawa madaktari wasomi na kila mmoja wao mpaka sasa ana simu ya mkononi kwahiyo wanaweza kuwasiliana na kupeana habari kwa njia ya simu bila ya kukutana na wakafanikisha mikakati yao!! They do not even follow the world events to know how the Arab spring succeeded!! Madaktari pashaneni habari kwa kutumia simu na internet basi.

Jamani kila cku tunasema hapa jamvini,wewe hata uwe wise na elimu nzuri kiasi gani ukishaingia ccm tu basi vyote vina overporate
 
Kaazi kweli kweli...kumbe bado kuna watu wanaenda kazini kwa amri za jeshini na sio targets zao
 
Na wakirudi kazini wafute madai yao yote, watii wanachoambiwa na serikali, tusisikie mgomo tena.
La sivyo wakaze uzi, afadhali wafukuzwe kazi kuliko kudhalilishwa kazini. Kama wanataaluma kazi ipo popote. Kama wamefoji vyeti...
 
Back
Top Bottom