Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,058
Hili ni neno kabisaaaa. Hebu kunywa ile unapenda hapo kwa mangi.Mbona Idris Sultan kapiga juzi tu na chupi? Adui wa mwanamke ni mwanamke
Hili ni neno kabisaaaa. Hebu kunywa ile unapenda hapo kwa mangi.Mbona Idris Sultan kapiga juzi tu na chupi? Adui wa mwanamke ni mwanamke
Yupo chini ya wizara yakeWazir amemfungia? Makosa ya mtandao adhabu anatoa waziri au mahakama? So confused
Tatizo waafrika hawajui mila zao na utamaduni. Labda huyo waziri sijui katumia mila zipi hizo za kitanzania??Hivi hayo yanayoitwa maadili ya mwafrika au mtanzania ni yapi? Maana nguo zililetwa na wazungu,
Asili ya mwafrika ni kukaa uchi na sehemu nyeti zilikuwa zinafunikwa na magome ya miti, sehemu zilizobaki zilikuwa wazi.
Labda turudi katika historia ya mwafrika maana kuna watu wanataka kuchanganya Asili ya mzungu na mwafrika
NI WAKATI WA KUHOJI SASA
Kuna wimbo muhusika ametoa ndio anatuhumiwa nao. Nyimbo nzima imekaa kujiuza mwili tu. Kama huna information kamili ya mada usipayuke payuke tu.! Juliana mama kaza hapo hapo, hawa mabinti walijidai wamechanganyikiwa.. kutuharibia watoto tu.Dah! Yaani hivi vipicha ndo waziri anadili navyo??? Naina waziri amekuwa mtu mdogo sana, au amekisa kazi za maana
Hivi angekuwa ni dada yako ungefurahia akae hivyo? Au kwa kuwa ni watoto wa wenzio?Huyu waziri kakosa kazi. Hakuna picha ya uchi hapo labda kama ana wivu na hizo shepu za kibantu. Hivi kabla ya wakoloni na waarabu kuja dada zetu walikua wanavaaje labda??? Inamaana tulikua hatuna maadili?
Kabisa Mkuu. Big up sana Mh Juliana.wasaniii kama wanao kiuka maadaili ya kitanzania wachukuliwe hatua Kali ili iwe fundisho kwa wengine!!!
kamwe tusiwachekee
Kila mtu na maisha yake huwez kumpangia mtu mzma aishi vipi. Hata wao wana makaka na maisha yanakwenda.Hivi angekuwa ni dada yako ungefurahia akae hivyo? Au kwa kuwa ni watoto wa wenzio?
Tatizo lake huyu dada anajiuza na sio usanii.
Usanii unaotakiwa ni wa kuleta maadiri mema kwa jamii
Vijana / watoto wetu wote wako huko. Mema na mabaya yoote wanajifunza huko siku hizi. Control hiyo ya maadili yetu ni muhimu sana. La sivyo vijana wetu wanapotea.Naibu waziri amehamishia ofisi Instagram.
wako tayari kwa adult movie sema vigezo ndio shida wengi wao wamejaa ukurutu na majanga mengine ya ngozi maeneo nyeti producer wanaona hailipi halafu wa kwetu hawajyi kuigiza pornoMmh,,natabiri haitapita miaka 5 tz wataanza kucheza x, kutokana na mwenendo huu