Mamba.kenge67
Member
- Nov 20, 2013
- 7
- 4
Asili yake si kukaa uchi bwana!Hivi hayo yanayoitwa maadili ya mwafrika au mtanzania ni yapi? Maana nguo zililetwa na wazungu,
Asili ya mwafrika ni kukaa uchi na sehemu nyeti zilikuwa zinafunikwa na magome ya miti, sehemu zilizobaki zilikuwa wazi.
Labda turudi katika historia ya mwafrika maana kuna watu wanataka kuchanganya Asili ya mzungu na mwafrika
NI WAKATI WA KUHOJI SASA