Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
hospitali x .....kama selikali inaweza kulipia wagonjwa huku private kwanini wasitumie pesa hizo kulipa madaktari? :
hospitali y ......andiken contract vinginevyo no, hospitali hizi zinajiendesha kibiashara.
Hospitali z........haijatoa jibu
acha uongo, hiyo point ya kwanza nakwambia hakuna management ya hospitali yoyote hapa tanzania inaweza kuijibu serikali hivyo, kama una ushahidi lete! Kama hawajarudishwa kwao india, unafanya mchezo nini?"