meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Wakurugenzi wa hospitali binafsi wamegoma kubeba mzigo wa serikali wa kuchukua wagonjwa kutoka hospitali za Public zilizoathiriwa na mgomo.
Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"
Serikali yapata jibu la kejeli... "Kama mnaweza kuwalipia wagonjwa private kwanini fedha hizo msitumie kuwalipa madaktari?"