enockino
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 272
- 171
Serikali yafuta posho zote za vikao vya kamati za Bunge na Bodi za taasisi za umma zafutwa Rasmi
===================
===================
Msajili wa Hazina Lawrence Mafuru atangaza kufutwa kwa posho zote za vikao vya kamati za bunge na vikao vya bodi za taasisi za umma