Ms Judith
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 2,563
- 918
Mkuu punguza jazba, kufunga kesi na kuachiwa huru ni vitu viwili tofauti, kufunga kesi maana yake ni kuwa upande wa mashtaka umekamilisha ushaidi wake sasa kinachosubiliwa ni mahakama kuja na kauli kama watuhumiwa wana kesi ya kujibu au hawana kesi ya kujibu. huyo michuzi uliyemkoti kichwani bure kabisa inaonekana hata yeye hiyo habari kaipata kwa text msg. kama yeye ni mwandishi makini angalau angeandika kesi ya Mramba ushaidi wakamilika, hao ndio waandishi wetu hata akiwa chooni anataka yeye ndio aonekane ndio mtoa habari wa kwanza. pumba.
hata mie nilitaka kuuliza manake sikuelewa vizuri. ni kuwa wamefutiwa mashitaka, au kesi (ushahidi) i(u)mefungwa?