Ledio
Member
- Jun 15, 2011
- 30
- 2
Acha upumbavu raia waliokufa kule mbona husemi.Kwahiyo unasema hata TZ tuteke nchi kwa PICK UP?.Alikataa kuwatambua kwa kuzingatia sheria za kimataifa na si vinginevyo.Kitendo walichofanya waasi wa Libya si cha ubinadamu.Huwezi ukamuua kwa aibu hivyo kiongozi wenu.waarabu si watu waungwana hata kidogo.