Wanitakiani
JF-Expert Member
- Apr 18, 2008
- 641
- 135
just because we fought uganda dont mean we be enemy forever
In 42 years of his rule, Gaddafi was digging his own grave!
just because we fought uganda dont mean we be enemy forever
wa afrika tunatakiwa kujikomboa upya kutoka kwa mabeberu haya kama ambavyo walifanya mababu zetu, tulisoma kwenye historia na tukawasifu lakini sasa tunaitaji wajukuu zetu waje watusifu kama ambavyo sasa tunawasifu kina mkwawa, isiki, abushiri, kinjekitile na wanginewe, awa walichoshwa na ukoloni wakaamua kutumia mbinu zote walizoweza hatimaye wakoloni wakasalimu amri wakautoa uhuru, leo hii wamekuja na propaganda za kueneza demokrasia duniani, hawa ni waongo wakutupwa kabisa kama auamini hili jikumbushe wapalestina walivyofanya uchaguzi wao kwa amani na uhuru na kukichagua chama cha hamasi kuwaongozi wakaja juju na kuwaita magaidi ,hata kama magaidi sindio hao waliochaguliwa kwa demokrasia, au demokrasia gani waliokuwa wanaitaka, ivi inawezekana vipi watu wanabeba silaha alafu gadafi awaache eti tukaambiwa wanaandamana kwa amani ila gadafi anawauwa, ivi leo wanafunzi wa UD Washike silaha waandamane alafu serikali iwaachie eti demokrasia ni kweli tutakuwa na serilkali apo, KWA WALE AMBAO WALIKUWA AWAJUI NA WAKAAMINISHWA UONGO WA ALJAZEERA, CNN NA BBC eti libya wanamaisha ya taabu sana basi wakumbuke makala ambayo ilikuwa inarushwa na ITV karibu wiki nzima kabla ya uasi wa kijambazi ikionyesha libya ilivopata maendeleo na maisha yasivokuwa ghari kupita nchiu zote za mashariki ya kati na afrika kwa ujumla leo hii unawezaje kumwita gadafi dikteta, dikteta kwa kuwapa maisha mazuri watu wake, wazungu waliogopa hata pale mwanae gadafi alitangaza kuwa wapo tayari kufanya uchaguzi wa haraka kwa kujua kuwa gadafi angeshinda kwakuwa aliungwa mkona na asilimia 90% ya walibya
Nanyinyi mjiandae, na mlivyo vibonge sijui hata kama mteweza kupenya kwenye culverts km Gaddafi kwa jinsi mlivyo mabwanyenye kwa fedha za kifisadi. Nguvu ya umma nasisitiza, nguvu ya umma haizuiliwi kwa mizinga, magari ya washawasha wala mabom ya machozi.
In 42 years of his rule, Gaddafi was digging his own grave!
Ukoloni mambo upi ambao haujaingia Tanzania ? Pinda na hekari 800,000 kaweka mkataba .Madini yetu na watu wanavyo uawa na hao unaowaona kwamba hawajafika .Au unaongelea nini mkuu ?Wachina wanapiga hata polisi .Mchina mmoja kufa hata Membe na mke wa rais wanafika kuomba msamaha wakati ni ujambazi wa kawaida .Ukoloni upi kaka unao ongelea wewe ?
"You're either with us you are against us"
Gaddafi was a true son of Africa na daima atakumbukwa na historia ya ma-Panafricanists wa bara letu! Amekufa kishujaa, na nisingetegemea tofauti na aina ya kifo alichokipata kwa mtu wa aina ya Gaddafi...
Kingwangala ndio maana watu hutilia shaka ufahamu wako , Gadaf hakuwa PanAfricanists, na wala hakuwahi, maana wakati hata wakupigania uhuru hakuwa na Waafrika wenzake.Gaddafi was a true son of Africa na daima atakumbukwa na historia ya ma-Panafricanists wa bara letu! Amekufa kishujaa, na nisingetegemea tofauti na aina ya kifo alichokipata kwa mtu wa aina ya Gaddafi...
Gaddafi was a true son of Africa na daima atakumbukwa na historia ya ma-Panafricanists wa bara letu! Amekufa kishujaa, na nisingetegemea tofauti na aina ya kifo alichokipata kwa mtu wa aina ya Gaddafi...
Mwenye akili timamu huwezi kushabikia kilichotokea Libya. Dharau kwa sovereign state siyo kitu cha kushangiliwa na watu makini na wenye akili timamu kama wanaJF, kama ninavyolazimika kuamini kwa misingi ya falsafa iliyounda jukwaa hili ya 'great thinking'
Nguvumali, kuwa Pan Africanist sio lazima uwe ulipigania uhuru, Ghadafi ni true son of Africa na Pan Africanist kwenye kuing'oa neo colonialism ambayo ni mbaya kuliko hata colonialism yenyewe!.Kingwangala ndio maana watu hutilia shaka ufahamu wako , Gadaf hakuwa PanAfricanists, na wala hakuwahi, maana wakati hata wakupigania uhuru hakuwa na Waafrika wenzake.
soma vizuri historia ya Africa zama za ukombozi hakuwahi kusaidia hata mawazo alijikita kule Arab League akila arua na tende.
Asante Dr. Kingwa na pole kwa yaliyokukuta mikononi mwa polisi.Gaddafi was a true son of Africa na daima atakumbukwa na historia ya ma-Panafricanists wa bara letu! Amekufa kishujaa, na nisingetegemea tofauti na aina ya kifo alichokipata kwa mtu wa aina ya Gaddafi...
Naloli,
Hili sii swla la silka ya binadamu, tunazungumzia sheria na UTU wa mwanadamu..Ghadaff ailikuwa na makosa yake na ndio maana kaondolewa madarakani. Kuondolewa kwake ni swala la Walibya kama lilivyo swala hili lakini kwa nini wewe unashangilia mahala ambapo sheria haikutumika maana kinachoweza kutuunganisha sisi na Walibya ktk swala hili ni kuzama sheria zinasema nini?
Hivyo kwa mtu yeyote anayekiuka sheria iwe Ghadaff au NTC hatuwezi kumuunga mkono tu kwa sababu hatumpendi mtu wa upande wa pili kama wanavyofanya Marekani na nchi za magharibi. Na afadhali wao wanafanya Urafiki na nchi hizi kwa maslahi yao wakati wewe na mimi urafiki wa maslahi hatuoni sababu..
Watu wengi hapa JF wametumia sababu ya Membe kumpenda Ghadaff ni kwa sababu ya misaada alotupa na interest zetu lakini wanashindwa kuelewa kwamba kama Ghadaff huyo huyo angeweza kukidhi interest za nchi za magharibi angeendelea kutawala kwa mika amingine na pengine hata kumwachia mwanaye kwani sii wa kwanza kufanya hivyo kinyume cha fikra tulopandikizwa..
Maneno yako ya kwamba ukiua kwa upanga nawe utauawa kwa upanga ni maneno mazito sana! na siodhani kama unayazungumza kwa kutumia sheria ama hisia zako lakini kama kweli unaamini aliyeua kwa Upanga anatakiwa kuuawa kwa upanga bila kufuata taratibu za kisheria, basi ya nini tunakuwa na mahakama? ya nini watu mnasomea sheria ili hali mwanadamu anaweza kufanya maamuzi haya pale inapompendeza...
Na fedha ghaddafy alizotoa kujengea kiwanda cha cement huko Lindi zipo wapi?Wanabodi,
Wenye access na TBC, angalieni live, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bennard Membe, ametoa msimamo wa Tanzania kuhusu kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Libya, Col. Muammar Ghadafi.
Waziri Membe, ametoa msimamo huo leo asubuhi katika kipindi cha Jambo Tanzania, kinachorushwa moja kwa moja na TBC-1.
Waziri Membe amesemaWaziri Membe, aliendelea kumsifia Ghadafi kwa michango yake kwa umoja wa Afrika na kueleza jinsi alivyotaka kuunganisha bara la Afrika kuunda United States of Africa ambapo alijenga makao makuu yake mjini Sirte, mahali alipozaliwa.
- Tanzania haijafurahishwa na kifo hicho kwa vile Watanzania hatuna utamaduni wa kufurahia kifo chochote. Na kifo cha umwagaji damu ni kifo kibaya. (Japo Tanzania haijafurahia kifo hicho, ila pia haijalaanio mauaji hayo).
- Membe amesema, kwa vile Ghadafi ilikamatwa akiwa hai, huo ni uthibitisho kuwa aliuwawa mikononi mwa waliomkamata. Tanzania ingependa kuona Ghadafi akifikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kumtendea haki.
- Tanzania imeitaka serikali ya mpito ya Libya kudumisha amani na kuanza maandalizi ya kuunda serikali ya mpito kuelekea uchaguzi wa kidemokrasia.
- Pia amesema, Umoja wa Afrika, utatoa tamko lake leo, nalo halitakuwa tofauti na msimamo wa Tanzania, kutounga mkono mauaji ya Ghadafi ila nao utasisitiza kuundwa kwa serikali ya mpito na kuelekea uchaguzi wa kidemokrasia.
- Amesema hizo shamrashamra za kushangilia kifo cha Ghadafi zinazoonekana mitaani Libya ni short lived, kwa vile pamoja na mapungufu ya Ghadafi ya kutoruhusiu demokrasia, wanaompenda pia ni wengi kutokana na maendeleo makubwa aliyoiletea Libya hivyo isitegemewa maadam Ghadafi amekufa sasa ndio amani ya kudumu itapatikana Libya.
Membe pia alisifia maendeleo makubwa yaliyopigwa na Libya katika ujenzi wa nyumba za kisasa na miundo mbinu bora kabisa barani Afrika, na kueleza kuwa Tangu mwaka 2006, amekuwa akiwaalika viongozi wa Afrika kila mwaka kupiga kambi huko Sirte. (Naamini ni kula maraha).
My Take.
Kwanza nampongeza Waziri Membe kujitokeza waziwazi kuonyesha Tanzania kama nchi, tunamlilia Ghadafi.
Rafiki ni wakati wa dhiki, Membe alitakiwa hayo aliyoyasema leo kuhusu Ghadafi, angetakiwa ayasema pale Mabeberu na wale vibaraka wao, walipoanza chokochoko Libya.
Ningefurahi kama Membe na Tanzania, tungeonyesha kulaani uwamizi wa demokrasia ya Kiafrika inayoshambuliwa na wakoloni mamboleo na mabeberu wa ulaya wenye uchu na utajiri wa Afrika na kuwaondoa viongozi vikwazo kwa kisingizio cha kulinda demokrasia.
Kauli ya Membe kuwa Marehemu alikuwa mtu mzuri kwa Bara la Afrika, came 'too late' ila hata hivyo Tanzania imefanya uungwana wa kutoa kauli hii kwenye kifo hiki, ili angalau kuituliza 'karma' ya Ghadafi isitushukie Watanzania kwa ukosefu wa fadhila.
Binafsi, sijafurahishwa na kifo cha namna ile cha Ghadafi, vile ambavyo sikufurahishwa na kifo cha Osama, Saddam , Doe, ets. Kwa kifupi sipendi kabisa hata kuona tuu rangi ya damu ya binadamu!.
RIP Ghadafi!.
hii ni thread yangu ya kumuaga Shujaa huyu Buriani Benard Membe, Umepigana Vita Vilivyo Vitakatifu, Mwendo Umeumaliza, Imani Umeitunza, Madeni Yako Yaliyobakia Karma Itakulipia!Wanabodi,
Wenye access na TBC, angalieni live, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bennard Membe, ametoa msimamo wa Tanzania kuhusu kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Libya, Col. Muammar Ghadafi.
Waziri Membe, ametoa msimamo huo leo asubuhi katika kipindi cha Jambo Tanzania, kinachorushwa moja kwa moja na TBC-1.
Waziri Membe amesema
Waziri Membe, aliendelea kumsifia Ghadafi kwa michango yake kwa umoja wa Afrika na kueleza jinsi alivyotaka kuunganisha bara la Afrika kuunda United States of Africa ambapo alijenga makao makuu yake mjini Sirte, mahali alipozaliwa.
- Tanzania haijafurahishwa na kifo hicho kwa vile Watanzania hatuna utamaduni wa kufurahia kifo chochote. Na kifo cha umwagaji damu ni kifo kibaya. (Japo Tanzania haijafurahia kifo hicho, ila pia haijalaanio mauaji hayo).
- Membe amesema, kwa vile Ghadafi ilikamatwa akiwa hai, huo ni uthibitisho kuwa aliuwawa mikononi mwa waliomkamata. Tanzania ingependa kuona Ghadafi akifikishwa mbele ya vyombo vya sheria ili kumtendea haki.
- Tanzania imeitaka serikali ya mpito ya Libya kudumisha amani na kuanza maandalizi ya kuunda serikali ya mpito kuelekea uchaguzi wa kidemokrasia.
- Pia amesema, Umoja wa Afrika, utatoa tamko lake leo, nalo halitakuwa tofauti na msimamo wa Tanzania, kutounga mkono mauaji ya Ghadafi ila nao utasisitiza kuundwa kwa serikali ya mpito na kuelekea uchaguzi wa kidemokrasia.
- Amesema hizo shamrashamra za kushangilia kifo cha Ghadafi zinazoonekana mitaani Libya ni short lived, kwa vile pamoja na mapungufu ya Ghadafi ya kutoruhusiu demokrasia, wanaompenda pia ni wengi kutokana na maendeleo makubwa aliyoiletea Libya hivyo isitegemewa maadam Ghadafi amekufa sasa ndio amani ya kudumu itapatikana Libya.
Membe pia alisifia maendeleo makubwa yaliyopigwa na Libya katika ujenzi wa nyumba za kisasa na miundo mbinu bora kabisa barani Afrika, na kueleza kuwa Tangu mwaka 2006, amekuwa akiwaalika viongozi wa Afrika kila mwaka kupiga kambi huko Sirte. (Naamini ni kula maraha).
My Take.
Kwanza nampongeza Waziri Membe kujitokeza waziwazi kuonyesha Tanzania kama nchi, tunamlilia Ghadafi.
Rafiki ni wakati wa dhiki, Membe alitakiwa hayo aliyoyasema leo kuhusu Ghadafi, angetakiwa ayasema pale Mabeberu na wale vibaraka wao, walipoanza chokochoko Libya.
Ningefurahi kama Membe na Tanzania, tungeonyesha kulaani uwamizi wa demokrasia ya Kiafrika inayoshambuliwa na wakoloni mamboleo na mabeberu wa ulaya wenye uchu na utajiri wa Afrika na kuwaondoa viongozi vikwazo kwa kisingizio cha kulinda demokrasia.
Kauli ya Membe kuwa Marehemu alikuwa mtu mzuri kwa Bara la Afrika, came 'too late' ila hata hivyo Tanzania imefanya uungwana wa kutoa kauli hii kwenye kifo hiki, ili angalau kuituliza 'karma' ya Ghadafi isitushukie Watanzania kwa ukosefu wa fadhila.
Binafsi, sijafurahishwa na kifo cha namna ile cha Ghadafi, vile ambavyo sikufurahishwa na kifo cha Osama, Saddam , Doe, ets. Kwa kifupi sipendi kabisa hata kuona tuu rangi ya damu ya binadamu!.
RIP Ghadafi!.
Pasco