Serikal ya jamhur ya muungn ya tz,imeingilia kati suala la TCU kuchelewa kutoa majibu lasimi ya vjana wenye sfa za kujiunga na vyuo nch na inasemekama kuwa TCU wamepewa saa 24 tu wawe wametoa majina hayo ikiwa ni pamoja na HESLB.Hvyo wana jamv wenzangu kuanzia saa 10 na kuendelea tembelea webst ya tcu wanaweza kuwa wameweka.Lazima iwe leo.