Serikali ni sisi, siyo tofauti na sisi, tumewaajiri viongozi, tuwakosoe

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,312
24,204
Mahojiano kabambe kuhusu utawala wetu kwa kina:

Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08


View: https://m.youtube.com/watch?v=T6cmRer8qjo

  • Umuhimu wa elimu kutufanya kuwa na ukombozi wa kifikra, kuchambua, kudadisi, kukosoa badala ya hali ya sasa ambapo kuna utamaduni wa kusifia na kutukuza tu
  • Nchi yetu haiendelei bado tunahamgaika na vitu vidogo ingawa tuna kila kitu cha kuifanya iwe nchi tajiri na ya watu wenye maisha bora ya furaha
  • Nidhamu siyo kunyamaza, kukaa kimya kwa kunyamaza ni kukosa nidhamu. Kuna faida gani ikiwa ikiwa humsaidii kiongozi wako kwa mawazo ikiwemo pia kumkosoa.
  • Demokrasia ya kweli siyo ya vyama vingi tu, bali watu kuelezea mawazo yao, sera zao, uhuru wa kujenga hoja katika bunge, asasi za kiraia na bila kusahau uhuru katika vyombo vya habari iwe JamiiForums, TBC n.k
  • Thamani ya kuwa na watu wakorofi yaani matata mema (Good Trouble- John Lewis US activist)
 
Mahojiano kabambe kuhusu utawala wetu kwa kina


View: https://m.youtube.com/watch?v=T6cmRer8qjo

  • Umuhimu wa elimu kutufanya kuwa na ukombozi wa kifikra, kuchambua, kudadisi, kukosoa badala ya hali ya sasa ambapo kuna utamaduni wa kusifia na kutukuza tu
  • Nchi yetu haiendelei bado tunahamgaika na vitu vidogo ingawa tuna kila kitu cha kuifanya iwe nchi tajiri na ya watu wenye maisha bora ya furaha
  • Nidhamu siyo kunyamaza, kukaa kimya kwa kunyamaza ni kukosa nidhamu. Kuna faida gani ikiwa ikiwa humsaidii kiongozi wako kwa mawazo ikiwemo pia kumkosoa.

Naunga mkono hoja
 
Hakika ni uchambuzi tunduizi kuhusu jamii yetu kwa upana, haya Mazungumzo na Rakesh Rajani Juu ya Demokrasia |Jenerali Ulimwengu Exclusive on The Chanzo S08 nimeelewa wapi tuna kwama kama raia wasiojishughulisha kushiriki kutoa maoni, kukosoa na hata kupiga kura ya kukataa chama na serikali
 
Back
Top Bottom