Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Tuko kwenye ukumbi sasa hivi St. Gaspsr Hotel Dodoma. Waziri mkuu anatoa hotuba sasa. Mabalozi wa nchi 12 zinazochangia pesa katika mfuko mkuu wa serikali (GBS) wapo ukumbini. Mawaziri karibu wote wako ukumbini. Kitakachosainiwa kinaitwa Performance Framework Memorabdum, unaoainisha msaada wa hawa wafadhili 12 kwa kipindi cha miaka 5