myhem
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 933
- 358
Nadhani kitendo cha Ndugai naye kuunga mkono kauli ya Sitta kuwa wapinzani ni wanafiki nahisi kitasababisha wapinzani waanze kutoa kauli za kuudhi kila siku.Badala amuache Sitta ajitetee yeye akaamua kumjibia na kumuunga mkono na akagoma kusikiliza mwongozo toka kwa Halima Mdee.Nadhani hapa CCM wamechokoza nyuki kwani watatupiwa matusi ya kila aina na wapinzani