Kwa mjibu wa tamko la kiongozi wa shughuri za bunge letu Sipika Dr Aksoni Tulia kwamba, bunge la kushughurikia wezi waliotajwa kutoka katika wizara mbalimbalu na mkaguzi wa hesabu za serikali CAG kwamba, kwa mjibu wa kanuni na sheria za Bunge, Bunge linaloendelea ni bunge la bajeti peke yake, na hivyo ripoti ya CAG, itajadiliwa katika bunge lijalo!
Sasa Najiuliza hapa kuhusiana na sheria zetu,
1:Kwa sababu hiyo, serikali nayo inabidi ikae kimya ikisubiri kile bunge limeadhimia na kwamba serikali haipaswi kabisa hata kujua pesa zake ni nani amezikwapua na wala haiwezi kushughuulikia ripoti hiyo kwa namna yoyote?
2: Kati ya serikali na Bunge, ni yupi aliyeibiwa pesa? Na kama ndiyo serikali imeibiwa, kwa nini haiwezi kuchunguza wizi huo na kuchukua hatua mpaka kusubiri idhini na ama uchambuzi wa bunge?
3: Kati ya Bunge na serikali ni nani humlipa mwenzake mshahara? Kama ni Serikali, kwani haioni kwamba kutokuchukua hatua sasa inapoteza pesa nyingi na hasara kubwa kusubilia bunge ambalo kila mwezi hutega mikono yake kulipwa posho, mishahara n.k huku likichelewesha uchunguzi wa pesa ambayo serikali imepata hasara?
4: Kati ya serikali na Bunge, ni nani anapaswa kuwa mkali linapokuja suala la wizi na upotevu wa pesa za wananchi?
5: Kati ya Bunge na Serikali, ni nani hasa akiwa legelege atasababisha serikali au bunge na kila kitu kuwa legelege, vile vile ni nani akiwa strong na mwenzake atakuwa strong katika kulinda mali na matumizi ya pesa za Serikali?
7: Lakini katika hali ya kawaida, upotevu na ufisadi uliotajwa na CAG, Ni halali kwa sipika kutangaza hadharani kwamba, Bunge lake linatoa muda wa miezi sita kushughurikia ripoti hiyo?
8:Kama ni kweli, Ya nini sasa kwa ofisi ya CAG kuwa anafanya ukaguzi na kuiwasilisha Bungeni katika kipindi ambacho yeye na serikali pamoja na Bunge wanajua kabisa kwamba haitashughurikiwa kwa sababu ya kanuni na sheria za kibunge?
9: Kama ni kweli serikali, Bunge na ofisi ya CAG wanalijua hilo, kwa nini wanakubali kukaa na sheria mbovu namna hiyo na wao kukubali kupoteza pesa kufanya ukaguzi ambao wanajua haitashughurikiwa?
Au ndiyo kuferi na kuwa na serikali legelege isiyo na meno dhidi ya mafisadi?
Karibuni wajuvi na wabobevu wa sheria zetu ili mtujuze
Tanzania ni yetu sote!
Kisamv....Kwa sasa nipo katika kisiwa cha Mafia!
Sasa Najiuliza hapa kuhusiana na sheria zetu,
1:Kwa sababu hiyo, serikali nayo inabidi ikae kimya ikisubiri kile bunge limeadhimia na kwamba serikali haipaswi kabisa hata kujua pesa zake ni nani amezikwapua na wala haiwezi kushughuulikia ripoti hiyo kwa namna yoyote?
2: Kati ya serikali na Bunge, ni yupi aliyeibiwa pesa? Na kama ndiyo serikali imeibiwa, kwa nini haiwezi kuchunguza wizi huo na kuchukua hatua mpaka kusubiri idhini na ama uchambuzi wa bunge?
3: Kati ya Bunge na serikali ni nani humlipa mwenzake mshahara? Kama ni Serikali, kwani haioni kwamba kutokuchukua hatua sasa inapoteza pesa nyingi na hasara kubwa kusubilia bunge ambalo kila mwezi hutega mikono yake kulipwa posho, mishahara n.k huku likichelewesha uchunguzi wa pesa ambayo serikali imepata hasara?
4: Kati ya serikali na Bunge, ni nani anapaswa kuwa mkali linapokuja suala la wizi na upotevu wa pesa za wananchi?
5: Kati ya Bunge na Serikali, ni nani hasa akiwa legelege atasababisha serikali au bunge na kila kitu kuwa legelege, vile vile ni nani akiwa strong na mwenzake atakuwa strong katika kulinda mali na matumizi ya pesa za Serikali?
7: Lakini katika hali ya kawaida, upotevu na ufisadi uliotajwa na CAG, Ni halali kwa sipika kutangaza hadharani kwamba, Bunge lake linatoa muda wa miezi sita kushughurikia ripoti hiyo?
8:Kama ni kweli, Ya nini sasa kwa ofisi ya CAG kuwa anafanya ukaguzi na kuiwasilisha Bungeni katika kipindi ambacho yeye na serikali pamoja na Bunge wanajua kabisa kwamba haitashughurikiwa kwa sababu ya kanuni na sheria za kibunge?
9: Kama ni kweli serikali, Bunge na ofisi ya CAG wanalijua hilo, kwa nini wanakubali kukaa na sheria mbovu namna hiyo na wao kukubali kupoteza pesa kufanya ukaguzi ambao wanajua haitashughurikiwa?
Au ndiyo kuferi na kuwa na serikali legelege isiyo na meno dhidi ya mafisadi?
Karibuni wajuvi na wabobevu wa sheria zetu ili mtujuze
Tanzania ni yetu sote!
Kisamv....Kwa sasa nipo katika kisiwa cha Mafia!