Its logical, kuwa kwa kasi ya waalim kuajiriwa itafika wakat ajira zao zitakoma, so its common sense kusema haeataajiri, although sina uhakika kama itakuwa 2015, angesema 2020 ningemuelewa kbs
walimu wataajiriwa ila kwa mahitaji maalum ya halmashauri husika tena kwa interview,na kupitia tume ya ajira ya utumishi wa umma