Serikali kulipa madai ya Watumishi wa Umma, yatalipwa February pamoja na mshahara! Soma hapa majina..

Sio kila mtu ana access ya internet kwahyo kupitia magazeti kila mtu ataangalia jina lake
Nakuweka majina kwenye internet maana yake nini...katika tawala zote zilizopita huko nyuma unadhani hayo malimbikizo watu walikuwa hawalipwi??walikuwa wanalipwa sana tena zaidi ya utawala huu but je majina yalikuwa yanawekwa hadharani humu???....majina ilitakiwa yatumwe kwa mwajiri then mwajiri ndo awajulishe wanaolipwa but sio kwa utaratibu huu...maana ya hii kitu imekaa kisiasa,jamaa wanataka tu kuwaaminisha watu serikali hii inajali watumishi wa umma na inawalipa madai yao wakati kiukweli ni uongo na kiki za awamu hii kama tulivyozizoea
 
Nakuweka majina kwenye internet maana yake nini...katika tawala zote zilizopita huko nyuma unadhani hayo malimbikizo watu walikuwa hawalipwi??walikuwa wanalipwa sana tena zaidi ya utawala huu but je majina yalikuwa yanawekwa hadharani humu???....majina ilitakiwa yatumwe kwa mwajiri then mwajiri ndo awajulishe wanaolipwa but sio kwa utaratibu huu...maana ya hii kitu imekaa kisiasa,jamaa wanataka tu kuwaaminisha watu serikali hii inajali watumishi wa umma na inawalipa madai yao wakati kiukweli ni uongo na kiki za awamu hii kama tulivyozizoea
Mkuu nayahemu maoni yako, tufanye serikali inatafuta kiki kama ambavyo unaamini
 
Serikali inatufanyia usanii wa hali ya juu,kama uhakiki ni kukata baadhi ya majina basi sawa.kama hiyo ndio orodha nimesikitika sana na kukatishwa tamaa na hii serikali.
Mkuu tusikate tamaa mapema. Huyu Rais ni mwema. Naamini mambo yataenda kwa haki na amani mioyoni mwetu. Hata mimi nili panic sana. Baada ya muda busara imeniingia. Tusipanic hakuna litakalo haribika.
 
huu ni uchonganishi sasa,hivi wafanyabiashara wanaposikia vyombo vya habar vikitangsza,
*WATUMISHI WAUMA KICHEKO MWEZI HUU** si watajua watumishi wote ,hivi sirikali imeshndwa kwenda kimyamya???! mpaka watupublish¡!!!? KIKI zitakuja ziwatokee puan hawa watu!
 
Nakuweka majina kwenye internet maana yake nini...katika tawala zote zilizopita huko nyuma unadhani hayo malimbikizo watu walikuwa hawalipwi??walikuwa wanalipwa sana tena zaidi ya utawala huu but je majina yalikuwa yanawekwa hadharani humu???....majina ilitakiwa yatumwe kwa mwajiri then mwajiri ndo awajulishe wanaolipwa but sio kwa utaratibu huu...maana ya hii kitu imekaa kisiasa,jamaa wanataka tu kuwaaminisha watu serikali hii inajali watumishi wa umma na inawalipa madai yao wakati kiukweli ni uongo na kiki za awamu hii kama tulivyozizoea
Ni vema ameweka uwazi ili kila mtu apate taarifa. Angeliweka kiasi cha pesa ndio ingelikuwa sio sahihi. Taarifa hii ni nzuri na wanufaika ni wengi.Uwazi utasaidia kutatua changamoto.
 
Duuuh,hatimaye safari hii jina langu limekumbukwa baada ya kusotea madai yangu kwa takribani miaka 8.

Asante Mungu,naombwa nilipwe NISEPEEE
 
Ukichelewesha kulipa loan board wanakulima riba.Pia thamani ya hela wanabadilisha kulingana na muda unaolipa.Sasa mbona wao tukiwadai Huwa hakuna riba Wala thamani ya pesa hawaweki?
Halafu naona wameamua Kwa makusudi kutowalipa baadhi ya watumishi.Watu wanadai madeni kibao lakini hamna majina yao why? Au hizo hela kuna watu walikula?
 
Kwa hyo kuna makundi mengne yatatoka? Manake ktk halmashauri yangu kuna jina moja tu kati ya majina mengi yaliyopaswa kutoka kwa mwaka nilioajiriwa
 
Back
Top Bottom