ADAM MILLINGA
Senior Member
- Apr 27, 2011
- 117
- 13
Habari zenu wana JF,
Naomba nisionekane mdini kwa topic yangu ya leo kwani kwa kipindi cha miezi mitatu sasa magazeti yamekuwa yakimripoti askofu mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, Cardinal Pengo kujiusisha na biashara za madawa ya kulevya.
Cha kujiuliza sasa ni kama polisi wameshapata uthibitisho wa jambo ilo kwanini wasichukue hatua badala ya kutumika vyombo vya habari kumchafua kila siku?
Kwakuwa amekua akikemea serikali kwa uovu unaofanya ndo leo waseme wanamjua kuwa anajishughulisha na madawa ya kulevya?
Jamani serikali tuache mambo hayo tumeanza wenyewe kwa wenyewe sasa mnaingilia viongozi wa dini? Mlianza na Dr. Rwakatare mliishia vipi? Ifike kipindi serikali ikubali maovu yake na sio kuyakataa kwa kutaka kuziba watu midomo, maoni yangu kwa askofu ni kutaka kumwambia, askofu Pengo tunakuamini na pia mchezo mchafu wa watawala wa Tanzania tunaujua awajauanza kwako usikome kuwaambia ukweli kwani panapo ukweli uongo hujificha.
Siku njema members wenzangu.
Naomba nisionekane mdini kwa topic yangu ya leo kwani kwa kipindi cha miezi mitatu sasa magazeti yamekuwa yakimripoti askofu mkuu wa jimbo la Dar es Salaam, Cardinal Pengo kujiusisha na biashara za madawa ya kulevya.
Cha kujiuliza sasa ni kama polisi wameshapata uthibitisho wa jambo ilo kwanini wasichukue hatua badala ya kutumika vyombo vya habari kumchafua kila siku?
Kwakuwa amekua akikemea serikali kwa uovu unaofanya ndo leo waseme wanamjua kuwa anajishughulisha na madawa ya kulevya?
Jamani serikali tuache mambo hayo tumeanza wenyewe kwa wenyewe sasa mnaingilia viongozi wa dini? Mlianza na Dr. Rwakatare mliishia vipi? Ifike kipindi serikali ikubali maovu yake na sio kuyakataa kwa kutaka kuziba watu midomo, maoni yangu kwa askofu ni kutaka kumwambia, askofu Pengo tunakuamini na pia mchezo mchafu wa watawala wa Tanzania tunaujua awajauanza kwako usikome kuwaambia ukweli kwani panapo ukweli uongo hujificha.
Siku njema members wenzangu.