Uwezo Tunao
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 6,942
- 1,190
Wazee, nawambieni Mataifa Wahisani wanatema cheche balaa huko nyuma ya pazia. Yote tunayafahamu, na bado patamu zaidi panakuja!!! Wanaoshinwa kuaminika na watu anaowaongoza 'Wapende Wasipende' ataaminika vipi nje ya nchi??
CHADEMA si mahala pa CCM kuja kuoshea mikono yake michafu kiujanjaujanja, tuunde kwanza chombo cha kitaifa cha kushughulikia maswala ya kupatikana KATIBA MPYA halafu sisiemu tutakutana huko huko mkutanoni chini ya chombo hiki.
Maadam walishatia mioyo yao migumu, Wananchi Uwezo Tunao wa kujiletea aina ya mabadiliko yanayoendana na maslahi yetu kama taifa.
CHADEMA si mahala pa CCM kuja kuoshea mikono yake michafu kiujanjaujanja, tuunde kwanza chombo cha kitaifa cha kushughulikia maswala ya kupatikana KATIBA MPYA halafu sisiemu tutakutana huko huko mkutanoni chini ya chombo hiki.
Maadam walishatia mioyo yao migumu, Wananchi Uwezo Tunao wa kujiletea aina ya mabadiliko yanayoendana na maslahi yetu kama taifa.