JohnShaaban
JF-Expert Member
- Aug 23, 2007
- 464
- 114
CDM hawana haja ya kuogopa kama wanataka kusimamia mitazamo yao; hakuna sababu ya kusema hampingi uwepo wa Rais aliyewekwa kwa mchakato mnaoupinga?!?!?!?!?!kiherehere said:...CHADEMA hawajasema hawatambui matokeo ya urais BALI WANAOPINGA/HAWAKUBALIANI na mchakato uliomuweka RAIS madarakani... ndo maana wanakubali ipo serikali..... walipigakura katika uchaguzi wa PM na Spika na wanaitambua serikali LAKINI SIO MCHAKATO ULIOMUWEKA MKUU WA SERIKALI (rais).