Serikali inakosea sana kuwatenganisha Kikazi Wanandoa

Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.

Baadhi ya watoto wetu wako kwenye ndoa na wengine wako vyuoni nasi. Mke wangu bado ana miaka 13 kazini kabla ya kustaafu. Majuzi amenitembelea hapa Dodoma, alifika akiwa anajisikia vibaya na tukafanya utaratibu wa kwenda hospital. Tulikutana na Dr mstaarabu na akatushauri tupime Ukimwi kwa pamoja.
Unazungumzia Dodoma na Dar lakini wapo watumishi wengine wengi zaidi ya hao katoka mikoa na maeneo mengine
 
Lakini wewe ni wa ajabu sana. Tena ningekuwa kijana mwenzangu ningekuitwa wewe ni FALA.

Hivi at that age unamuacha mkeo, halafu anaenda wapi? Hao watoto wenu umewaza stability yao itakuwaje? Masomo yatakuwaje? Wajukuu wako watawaelewaje? Unaweza himili mtazamo na maneno ya jamii kuwa mkeo ni malaya, ameleta ukimwi ukamuacha? Wanao unajua itawaathiri kiasi gani?

Kuwa mwanaume si lelemama na kuwa baba si suala la kuvua chupi mkeo tu. Baba ni mwenye kuhimili machungu, mawimbi na mishale ile familia isonge mbele. Uimara wa Baba unapimwa pale familia inapopatwa na majanga.

Kaa na mkeo, yajengene kwa mustakabali wa watoto na heshima ya familia! Mnaachana uzeeni?
 
Lakini wewe ni wa ajabu sana. Tena ningekuwa kijana mwenzangu ningekuitwa wewe ni FALA.

Hivi at that age unamuacha mkeo, halafu anaenda wapi? Hao watoto wenu umewaza stability yao itakuwaje? Masomo yatakuwaje? Wajukuu wako watawaelewaje? Unaweza himili mtazamo na maneno ya jamii kuwa mkeo ni malaya, ameleta ukimwi ukamuacha? Wanao unajua itawaathiri kiasi gani?

Kuwa mwanaume si lelemama na kuwa baba si suala la kuvua chupi mkeo tu. Baba ni mwenye kuhimili machungu, mawimbi na mishale ile familia isonge mbele. Uimara wa Baba unapimwa pale familia inapopatwa na majanga.

Kaa na mkeo, yajengene kwa mustakabali wa watoto na heshima ya familia! Mnaachana uzeeni?
Kwa maana fupi aendelee n MKE wake na wafanye mapenzi kwa condoms ndani y NDOA?
 
Serikali ilishasababisha mchumba wa Mshkaji wangu aliwe na mwanaume mwingine na kupewa mimba...

La haula jamaa anataka kutoa posa binti anamzungusha zungusha kumbe tayari keshanasa mimba ya jamaa mwingine

Sasahv hata kuzungumza hawazungumzi
 
Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.

Baadhi ya watoto wetu wako kwenye ndoa na wengine wako vyuoni nasi. Mke wangu bado ana miaka 13 kazini kabla ya kustaafu. Majuzi amenitembelea hapa Dodoma, alifika akiwa anajisikia vibaya na tukafanya utaratibu wa kwenda hospital. Tulikutana na Dr mstaarabu na akatushauri tupime Ukimwi kwa pamoja.

Majibu yalitoka na mke wangu akiwa Chanya + tulipima tena hospital nyingine na bado ilibaki vilevile. Sasa nabaki najiuliza, jamii itatuelewaje? Watoto watatuelewaje? Wakwe watatuelewaje? Nimekata tamaa na nimebaki bila majibu.

Jamani wenzangu mkae mkijua kuwa hili limetokea kwangu, ukweli wenyewe wengi mko kwenye maisha hayo. Serikali imefanya makosa makubwa sana kutenganisha ndoa za watu kwa makusudi. Watoto wengi walioko mitaani hawana maadili kwa kukosa malezi ya baba na mama.

Hapa tunajenga taifa au tunabomoa. Nimebaki njia panda. Nimfukuze? Nimuue? Au nifanyeje. Huu ni utumishi Serikalini au ni utumwa serikalini. Nimeshindwa kula hata kazini sijaenda. Mke wangu karudi Dar nae sijui anaenda kujiua!

Mbali na lawama kwa mke wangu bado zigo la lawama nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.
Pole sana mkuu kwasasa inabidi ukubali kilichotokea na maisha yaendele usichukue sheria mkononi kujiua au kuua maana watoto wenu wanawahitaji sana fikiria watoto wako kwa sasa usiwaze kuhusu huyo msaliti au watu watawaonaje.
Pili lawama wala usizitupie serikali kwani ndoa yenu sio ya kwanza kuishi mbali na haitakua ya mwisho shida hapo ni mkeo ameshindwa kuwa muaminifu kwenye ndoa yenu tena mbona mpo karibu sana dar na dodoma tu hata kuonana mara kwa mara ni rahisi wengine wapo Kagera na Mtwara.
 
Hivi nyie MAMA USHAURI, mnaelewa kuwa mke wake kagongwa nje tena kavukavu mpaka kapata michubuko akaambukizwa (the so called) UKIMWI. Hapa swala sio miwaya tu kitendo cha mke kuchepuka na ukalijua hilo inatakiwa umwache mara moja, hayo maswala ya jamii sijui watoto huo ni uoga wa kishamba afu ushapitwa na wakati.
Wangapi wanaachana kwa kusalitiwa tu na wenza wao bila hata kupata miwaya ndo ije leo mtu kayavagaa mamiwaya afu eti uangalie jamii, ooh sijui usimuache uzeeni, ohh sijui watoto kuna binadamu nyoko sana si ajabu wanaoshauri hivyo na wao ni + kitambo.

KATAA NDOA KIJANA
 
kama alifanya uchepukaji mara nyingi, kilichofanya aondoke ni aibu, maana amehisi kama yoote aliyoyafanya yameonekana wazi bila chenga!
Na kama alipitiwa mara moja tu, ameondoka kwasababu ya kupanic

Nyege ni mbaya sana (hasa za wanawake), kuna wakati zikishapanda na ukazitii, huwezi kukumbuka habari za condom!
Najua wewe ni mzima, si kwasababu ulijilinda/unajilinda, hapana ni kama neema tu ndio maana ukienda kupima unakuwa na mashaka mashaka sana..

Mimi naona, kukaa mbali na mkeo si jambo zuri. Haya mambo ya kusaidiana maisha kwakweli ndio haya matokeo yake!
Baba unafanya kazi mkoa A mama anafanya kazi mkoa O ! Yaani.... Ili iweje ??
Serikali haiwezi kuwapangia namna ya kuishi ikiwa wote mlishaamua kuwa watafutaji (ni maamuzi yenu), wala sijaona kosa la serikali hapo.

Kwakweli inauma sana na hata kama utaamua kuendelea nae kama wanavyosema; hutakuwa na ile furaha kama mwanzo, kulala na mtu ambaye ni unajua kabisa ni .. 🤔

Fanya hivi;
usimfukuze, mwache ili kulinda heshima yenu na kwasababu ya familia,
👉oa mke mwingine (najua hatakuzuia) ambae utakuwa nae kwa kujiachia kwa raha zote!
Sii kwamba huyo mama umtelekeze☹️ hapana;
mhudumie, mjali na umtunze kama mumewe, kama ilivyokuwa kawaida; mtie moyo mfariji, mpe matumaini lakini katika "tendo la ndoa" lazima nae apate haki hiyo kama mwanandoa, tumia safety (condom)

Usimuache, usimuache & USIMUACHE; Oa mke mwingine 😷😷😷
 
Haya ,mwaya poleni unajua ukiongea haisadii maana imeshatokea mwombe Mungu akupe nguvu yakuendelea kuishi kunywa maji mengi,fanya mazoezi kula mboga za majani,na vyakula vyakuongeza nguvu basi.
Endelea kuishi kunywa dawa usisahau saa 12 kamili saa sita mchana na,saa nne kila siku
Mbona unachanganya maelwezo masta ? Mgonjwa sio yeye hapo au hujasoma vizuri ? Anywe dawa za nini ?
 
Hivi nyie MAMA USHAURI, mnaelewa kuwa mke wake kagongwa nje tena kavukavu mpaka kapata michubuko akaambukizwa (the so called) UKIMWI. Hapa swala sio miwaya tu kitendo cha mke kuchepuka na ukalijua hilo inatakiwa umwache mara moja, hayo maswala ya jamii sijui watoto huo ni uoga wa kishamba afu ushapitwa na wakati.
Wangapi wanaachana kwa kusalitiwa tu na wenza wao bila hata kupata miwaya ndo ije leo mtu kayavagaa mamiwaya afu eti uangalie jamii, ooh sijui usimuache uzeeni, ohh sijui watoto kuna binadamu nyoko sana si ajabu wanaoshauri hivyo na wao ni + kitambo.

KATAA NDOA KIJANA
Kumbuka huyo mama kwa sasa (kwa umri huo)
Hayupo kwa faida ya mumewe tu(baba)

Ni kwa faida ya watoto pia, wewe baba utamfukuza kwa kuangalia upande wako peke yako
 
Haya ,mwaya poleni unajua ukiongea haisadii maana imeshatokea mwombe Mungu akupe nguvu yakuendelea kuishi kunywa maji mengi,fanya mazoezi kula mboga za majani,na vyakula vyakuongeza nguvu basi.
Endelea kuishi kunywa dawa usisahau saa 12 kamili saa sita mchana na,saa nne kila siku
Mbona unachanganya maelwezo masta ? Mgonjwa sio yeye hapo au hujasoma vizuri ? Anywe dawa za nini ?
 
N
Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.

Baadhi ya watoto wetu wako kwenye ndoa na wengine wako vyuoni nasi. Mke wangu bado ana miaka 13 kazini kabla ya kustaafu. Majuzi amenitembelea hapa Dodoma, alifika akiwa anajisikia vibaya na tukafanya utaratibu wa kwenda hospital. Tulikutana na Dr mstaarabu na akatushauri tupime Ukimwi kwa pamoja.

Majibu yalitoka na mke wangu akiwa Chanya + tulipima tena hospital nyingine na bado ilibaki vilevile. Sasa nabaki najiuliza, jamii itatuelewaje? Watoto watatuelewaje? Wakwe watatuelewaje? Nimekata tamaa na nimebaki bila majibu.

Jamani wenzangu mkae mkijua kuwa hili limetokea kwangu, ukweli wenyewe wengi mko kwenye maisha hayo. Serikali imefanya makosa makubwa sana kutenganisha ndoa za watu kwa makusudi. Watoto wengi walioko mitaani hawana maadili kwa kukosa malezi ya baba na mama.

Hapa tunajenga taifa au tunabomoa. Nimebaki njia panda. Nimfukuze? Nimuue? Au nifanyeje. Huu ni utumishi Serikalini au ni utumwa serikalini. Nimeshindwa kula hata kazini sijaenda. Mke wangu karudi Dar nae sijui anaenda kujiua!

Mbali na lawama kwa mke wangu bado zigo la lawama nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.
Ni kweli si maadili familia kuishi single.Nadhani serikali ikicheza itaingia gharama za kutibu watumishi wake na gharama za maziko.nadhani wangekuwa wanafacilitate kuhamisha na wenza wao pia
 
Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.

Baadhi ya watoto wetu wako kwenye ndoa na wengine wako vyuoni nasi. Mke wangu bado ana miaka 13 kazini kabla ya kustaafu. Majuzi amenitembelea hapa Dodoma, alifika akiwa anajisikia vibaya na tukafanya utaratibu wa kwenda hospital. Tulikutana na Dr mstaarabu na akatushauri tupime Ukimwi kwa pamoja.

Majibu yalitoka na mke wangu akiwa Chanya + tulipima tena hospital nyingine na bado ilibaki vilevile. Sasa nabaki najiuliza, jamii itatuelewaje? Watoto watatuelewaje? Wakwe watatuelewaje? Nimekata tamaa na nimebaki bila majibu.

Jamani wenzangu mkae mkijua kuwa hili limetokea kwangu, ukweli wenyewe wengi mko kwenye maisha hayo. Serikali imefanya makosa makubwa sana kutenganisha ndoa za watu kwa makusudi. Watoto wengi walioko mitaani hawana maadili kwa kukosa malezi ya baba na mama.

Hapa tunajenga taifa au tunabomoa. Nimebaki njia panda. Nimfukuze? Nimuue? Au nifanyeje. Huu ni utumishi Serikalini au ni utumwa serikalini. Nimeshindwa kula hata kazini sijaenda. Mke wangu karudi Dar nae sijui anaenda kujiua!

Mbali na lawama kwa mke wangu bado zigo la lawama nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.
Alipofika mlishikiana bila kunga? Afya yako ikoje?
 
Back
Top Bottom