covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 4,974
- 10,895
Duh pole sana maisha lazima yaendelee ila kama ni msaliti hapo hekima zako na maamuzi yako ndio yataamua.. maana nyie ni watu wazima teyari.Mimi ni mfanyakazi wa Serikali na ni mtumishi wa muda mrefu nimebakiza miaka mitatu kustaafu. Mkewe wangu nae ni mfanyakazi wa Serikali ila yeye alibaki Dar. Tumetenganishwa kwa nguvu na hili la Dodoma. Tumebahatika kupata watoto.
a nawatupia Serikali kwa kukatisha ndoa yangu na pengine itakatisha maisha ya mke wangu aliyeondoka kwa kuchanganyikiwa. Hili la Dodoma linaonekana kama masihara lakini ni janga kubwa sana. Tumejichimbia kaburi kimzaha.