Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,363
fedha zipo tena nyingi tu,isipokuwa priorities ndio tatizo kubwa yamsingi hayafanywi yasiyo ya msingi yanatumia pesa nyingi sana.
kuna maadhimisho ya muungano yanakuja je ni kiasi gani kimepangwa kutumika hapo je kiasi hicho na yote yatakayofanywa na namna yatakavyofanywa ni muhimu kiasi gani?
maadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru wa nchi yetu yalitumia kiasi gani je yote yaliyofanyika yalikuwa yamsingi kuliko makaratasi na mipango mingine ya maendeleo nchini?
pesa zilizotumika kutoka serikalini katika msiba wa kanumba zilikuwa ni muhimu kiasi gani ukilinganisha na matatizo chungu nzima ya watanzania?
shida si pesa bali matumizi ya pesa hizo serikali haina pesa??????
nakataaaaaa kabisa
kuna maadhimisho ya muungano yanakuja je ni kiasi gani kimepangwa kutumika hapo je kiasi hicho na yote yatakayofanywa na namna yatakavyofanywa ni muhimu kiasi gani?
maadhimisho ya miaka hamsini ya uhuru wa nchi yetu yalitumia kiasi gani je yote yaliyofanyika yalikuwa yamsingi kuliko makaratasi na mipango mingine ya maendeleo nchini?
pesa zilizotumika kutoka serikalini katika msiba wa kanumba zilikuwa ni muhimu kiasi gani ukilinganisha na matatizo chungu nzima ya watanzania?
shida si pesa bali matumizi ya pesa hizo serikali haina pesa??????
nakataaaaaa kabisa