Mr.kibulala
Member
- Nov 8, 2011
- 58
- 20
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna katika taasisi zake hususani Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofisi nyingi za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.
ILA JK YUKO BRAZIL
ILA JK YUKO BRAZIL