Serikali imefilisika hakuna pesa!

Mr.kibulala

Member
Nov 8, 2011
58
20
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna katika taasisi zake hususani Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofisi nyingi za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.

ILA JK YUKO BRAZIL
 
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna ktk taasisi zake esp Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofic nyng za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.ILA JK YUKO BRAZIL

Mliozoea kujichotea hela zetu mtafkufa mwaka huu, ni taratibu tu zimebadilika fedha tele huoni mkuu anazunguka dunia?
 
Ni ukweli kabisa ya kuwa SERIKALI YETU ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania yawezakuwa haina fedha za kutosha kuwezesha(finance) hyo miradi ya maendeleo....!
Tena hilo halina wa kuweza kubisha sana..

Lakini Siyo SERIKALI YA CCM...
 
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna ktk taasisi zake esp Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofic nyng za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.ILA JK YUKO BRAZIL

Hawawezi kuacha kutengeneza bajeti...ila tulikua tunaona wapi tunakwenda taratibu na wanasiasa wakawa wanatudharau. Na bado...waendelee kwenda kuvumbua nchi nyingine mpya baada ya ulaya na marekani. Siku wamekuja kutulia hapa kila kitu kwishney.
 
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna ktk taasisi zake esp Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofic nyng za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.ILA JK YUKO BRAZIL

Ni kweli hali ni mbaya hasa ofisi za serikali.
 
Naishauri serikali ibuni mbinu mpya za kuiwezesha kupata fedha na kuzipangia mipango ya maendeleo! Kimsingi napendekeza serikali ijaribu kufanya yafuatayo:
  1. Serikali iache kabisa kutegemea fedha za wahisani wa nje katika bajeti yake;
  2. Serikali iainishe upya vyanzo vyake vya mapato na kujua kiasi ambacho inaweza kukusanya kwa mwaka;
  3. Mipango yote ya maendeleo ipangwe kutokana na fedha za ndani;
  4. Ziara za viongozi ndani na nje ya nchi zidhibitiwe. Kwa hili serikali itumie zaidi technolojia ya habari kupata taarifa za miradi inayojengwa na pia kuwatumia wawakilishi mbalimbali walio katika maeneo husika.
  5. Serikali ipange miradi michache ya kutekeleza ambayo ina hakika ya kuikamilisha badala ya kuwa na miradi mingi ambayo haitekelezeki kwa wakati;
  6. Kwa sasa serikali iache mara moja kupanga miradi mipya na badala yake ijikite katika kutekeleza miradi ambayo haijakamilika; na
  7. Serikali iangalie uwezekanao wa kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na badala yake iimarishe idara za utekelezaji.
 
Hapo ndipo naposhindwa kabisa kuelewa dhana za "TRA KUVUNJA REKODI YA MAKUSANYO" na "UCHUMI WETU UNAONGEZEKA KWA KASI" kama tunavyoambiwa na wanasiasa wetu wa ccm kila siku.

Inawezekana nazo pia ni siasa...maaana biashara matangazo. Tutajuwaje wapo na wanafanya kazi hata kama kazi yenyewe ni sifuri.
 
Wakuu,kuna taarifa kuwa walimu wa shule za sekondari walioajiriwa hivi karibuni wameamua kurudi makwao kutokana na halmashauri husika kutokuwa na fungu la kuwalipa mishahara na marupurupu yao mengine. Mfano ni walimu waliopangiwa shule za Chunya mkoani Mbeya.
 
Hii ni Ugiriki sasa! Ingawa si vizuri kufanya ulinganisho, hivi iwapo JK angefuta ziara yake ya Brazil na kuamua gharama za ziara ile zikaokoe sekta ya Elimu hasa ajira mpya, angebanduka ngozi?
 
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna katika taasisi zake hususani Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofisi nyingi za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.

ILA JK YUKO BRAZIL

TANZANIA ZAIDI YA UIJUAVYO.

Shangaaa wafanyakazi wa Halmashauri hizo wanaishi na kusomesha watoto wao na hakuna hata mmoja alisha goma au kuandamana kudai malipo yao ndio TANZANIA hiiiii jamani,

Wachahche wetu wakidai haki twaaambiwa wanafanya vurugu hizi sera za woga zinatoka wapi tutakuja chanana mapanga humu ndani kila mmoja atakula na adui wake kwa jinsi alivyo muona kama alikuwa upande wa wanyonge au MAFISADISTANI


 
Mliozoea kujichotea hela zetu mtafkufa mwaka huu, ni taratibu tu zimebadilika fedha tele huoni mkuu anazunguka dunia?


anawezekana kuna chembechembe za ukweli ndani yake, kama hakuna inakuwaje jamaa kama mwewe, na terehe ishirini na ngapi sijui anaenda kumzika BINGWA.
 
Siyo WALIMU tu hata wataalam wa KILIMO waliopangiwa kuripoti baadhi ya Halmashauri wamerudi majumbani kwao sababu serikali haina pesa za kuwalipa mishahara.
 
Siyo WALIMU tu hata wataalam wa KILIMO waliopangiwa kuripoti baadhi ya Halmashauri wamerudi majumbani kwao sababu serikali haina pesa za kuwalipa mishahara.

serikali haiwezi kukosa pesa za mishahara kwa wafanyakazi wake ambao majina yao yako hazina kwa vile hulipa mishahara kwanza kabla ya kufanya malipo mengine. hao wapya huenda majina yao hayajapelekwa hazina kwa sababu mbalimbali.
 
Hakika serikali ya CCM inaelekea kuanguka,hali ni mbya sna katika taasisi zake hususani Halmashauri kwani mpaka sasa mwaka wa fedha unakwisha(2011/12) fedha za miradi ya maendeleo kwa wananchi hazijafika ktk halmashauri cha kushangaza halmashauri hzo wameshaanda bajeti ya FY 2012/13 sasa sijui wanatwanga maji kwenye kinu,na cha kuckitisha kuna ofisi nyingi za serikali hakuna karatasi,wino,mafuta,karatasi n.k yaani ni ovyo mazingira magumu.
ILA JK YUKO BRAZIL
Hapo ndipo naposhindwa kabisa kuelewa dhana za "TRA KUVUNJA REKODI YA MAKUSANYO" na "UCHUMI WETU UNAONGEZEKA KWA KASI" kama tunavyoambiwa na wanasiasa wetu wa ccm kila siku.
Naishauri serikali ibuni mbinu mpya za kuiwezesha kupata fedha na kuzipangia mipango ya maendeleo! Kimsingi napendekeza serikali ijaribu kufanya yafuatayo:

  1. Serikali iache kabisa kutegemea fedha za wahisani wa nje katika bajeti yake;
  2. Serikali iainishe upya vyanzo vyake vya mapato na kujua kiasi ambacho inaweza kukusanya kwa mwaka;
  3. Mipango yote ya maendeleo ipangwe kutokana na fedha za ndani;
  4. Ziara za viongozi ndani na nje ya nchi zidhibitiwe. Kwa hili serikali itumie zaidi technolojia ya habari kupata taarifa za miradi inayojengwa na pia kuwatumia wawakilishi mbalimbali walio katika maeneo husika.
  5. Serikali ipange miradi michache ya kutekeleza ambayo ina hakika ya kuikamilisha badala ya kuwa na miradi mingi ambayo haitekelezeki kwa wakati;
  6. Kwa sasa serikali iache mara moja kupanga miradi mipya na badala yake ijikite katika kutekeleza miradi ambayo haijakamilika; na
  7. Serikali iangalie uwezekanao wa kupunguza ukubwa wa baraza la mawaziri na badala yake iimarishe idara za utekelezaji.
Hakuna ubishi kabisa kwamba serikali hii ya kisanii na badhirifu haina kabisa hela kwani imeshindwa kuheshimu commitments zake nyingi tu ikiwa ni pamoja na malipo ya pensheni ya wazee wastaafu ambao mara ya mwisho walilipwa January mwaka huu na kwa kadiri ya tangazo lao la awali walipaswa kulipwa baada ya miezi mitatu yaani mwanzoni mwa Aprili hii. Sasa ni zaidi ya nusu mwezi na malipo yameshindikana, serikali imeshindwa hata kuwasiliana nao na haijaeleweka kama mwezi ujao watalipwa au la! La ajabu wanaendelea na ubadhirifu hata wa kidogo kilichobaki. Tanzania ni nchi ya ajabu, serikali inakusanya kodi kwa machinga tu, mapapa yanaachwa na kupewa misamaha isiyo na mantiki yoyote, serikali inawahadaa wananchi wake kwamba eti imevunja rekodi kwa kukusanya kodi! Wakati huo huo Rais anabembea kwenye ndege akifanya safari zisizo na tija yoyote kama mbayuwayu.
 
Hakuna ubishi kabisa kwamba serikali hii ya kisanii na badhirifu haina kabisa hela kwani imeshindwa kuheshimu commitments zake nyingi tu ikiwa ni pamoja na malipo ya pensheni ya wazee wastaafu ambao mara ya mwisho walilipwa January mwaka huu na kwa kadiri ya tangazo lao la awali walipaswa kulipwa baada ya miezi mitatu yaani mwanzoni mwa Aprili hii. Sasa ni zaidi ya nusu mwezi na malipo yameshindikana, serikali imeshindwa hata kuwasiliana nao na haijaeleweka kama mwezi ujao watalipwa au la! La ajabu wanaendelea na ubadhirifu hata wa kidogo kilichobaki. Tanzania ni nchi ya ajabu, serikali inakusanya kodi kwa machinga tu, mapapa yanaachwa na kupewa misamaha isiyo na mantiki yoyote, serikali inawahadaa wananchi wake kwamba eti imevunja rekodi kwa kukusanya kodi! Wakati huo huo Rais anabembea kwenye ndege akifanya safari zisizo na tija yoyote kama mbayuwayu.
Kama hiyo ni kweli basi ni aibu kubwa kabisa kwa serikali hii ya msanii huyu. Izingatiwe wazee hawa walilitumikia taifa kwa uadilifu na uaminifu mkubwa na si haki hata kidogo kuwanyanyasa kama serikali inavyofanya. Ingefaa sasa wazee hawa waunge mkono harakati za mageuzi zinazoendelea sasa. Binaafsi nitakipigia kura chama chochote (Isipokuwa CCM kwani ahadi zao nyingi huwa ahadi hewa) kitakachoahidi kwa dhati kuli address suala hili la wazee wastaafu kuchakachuliwa haki zao. Naona sasa serikali hii ya CCM inaugua laana iliyotolewa na vikongwe wa iliyokuwa East African Community waliodhulumiwa na serikali hii hii ya wezi, vibaka na mafisadi.
 
Back
Top Bottom