Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,726
- 12,812
Nchi ina wajinga wengiHyo masomo umewekewa wewe ? Mwanaume kufuatulia mambo yasiyokuhus ni red flag.
Kama mambo hayakuhusu kaa kimya ,fuata yako..
Nchi ina wajinga wengiHyo masomo umewekewa wewe ? Mwanaume kufuatulia mambo yasiyokuhus ni red flag.
Kama mambo hayakuhusu kaa kimya ,fuata yako..
Kizimkazi Effect.Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.
Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini. Katika hizo combination, kuna Divinity vile vile.
Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
Tangu Uhuru, ulijengwa msingi wa kitaifa kwmba taifa na serikali haina dini Ila wananchi wana dini zao.Serikali ya Kikwete haikukumbatia kabisa mambo ya Udini
Katika hili JK apewe maua yake
Umenena jambo zito mkuu.Tangu Uhuru, ulijengwa msingi wa kitaifa kwmba taifa na serikali haina dini Ila wananchi wana dini zao.
Changamoto ni kwamba watu wenye uoni mfupi wana nafasi za maamuzi katika taasisi za uma na siasa.
Matokeo ya watu wasioona mbali kupata nafasi za maamuzi yanayohusu uma, ni kubomoa misingi ya utaifa.
Mkuu wewe ni idio
Sibishani na shoga ,mnuka mavi .We ni mpuuzi tu , kati ya watu wenye akili, heri kanywe kahawa kijiweni kwa faida yako.
Swala linaloongelewa ni kuchanganya Serkali na Imani za kidini mkuu inapswa Vingine Uvielewe..We ndio haujui kitu. Kabla ya kupoteza, muda na kuandika magazeti yasiyo na faida ulizia kwanza kwa, walio karibu yako. Lakin unakurupuka kutoka shimoni kama panya, aliyeona nyoka.
U
Unajua usichanganye vitu na kuvifanya vya kisiasa ili muanze kuongea na kujadili uongo. Kwa kawaida, combination ni masomo matatu Ila masomo ya kukupeleka chuo Kikuyu ni mawali tu. Kwa hiyo mfano mtu anasoma Economic, Business studies na Islamic. Economic na, Business studies ndio zitampeleka chuo kikuu kwan university wanaesabu point nne za masomo mawili. Islamic knowledge itamsaidia kuwa na ufahamu wa neno la mungu na kuwa, na Imani na pia kuwa na uoga, na mwenyez mungu. Ili nchi iendelee tunahitaji wazalendo na wenye Imani na Mungu.
Tukianzisha Udini soon Tutaanza kupigana sisi kwa sisi na Vita lazma iongezeke..Tangu Uhuru, ulijengwa msingi wa kitaifa kwmba taifa na serikali haina dini Ila wananchi wana dini zao.
Changamoto ni kwamba watu wenye uoni mfupi wana nafasi za maamuzi katika taasisi za uma na siasa.
Matokeo ya watu wasioona mbali kupata nafasi za maamuzi yanayohusu uma, ni kubomoa misingi ya utaifa.
JAMANI WATANZANIA, JAPO DINI HULETA USTAARABU, LAKINI TUSIIFUNGAMANISHE NA SUALA LA ELIMU YA KIUTAALAMU, TUMEKOSEA, TENA TUMEKOSEA SANA, TUSAHIHISHE HILI.Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.
Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini. Katika hizo combination, kuna Divinity vile vile.
Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
Ni fikra za wajinga wachache wanataka kutuletea shida.Tukianzisha Udini soon Tutaanza kupigana sisi kwa sisi na Vita lazma iongezeke..
Tunakukumbuka NYERERE
NaSwala linaloongelewa ni kuchanganya Serkali na Imani za kidini mkuu inapswa Vingine Uvielewe..
Hupaswi kukaza Shingo..
Serkali haipaswi Kuongeza nguvu katika Kueneza Dini kwa Njia yoyote ile Ni kinyume cha Katiba..
View attachment 2940739
Nafikir hapa ww, na waleta threat ndio hamuelewi. Upeo wenu ni mdogo sana wa kuelewa. Mleta thread, hoja yake, anasema kwa kuruhusu islamic knowledge na divinity kwenye Combination, ni kueneza dini. Huo ni uelewa mdogo na ufinyu wa mawazo.Kwanza huyu mbumbu lazima haelewe kuwa masomo hayo yamekuwa yakisomwa secondary muda mrefu Ila hayakuwa kwenye combination na hata kwenye admission za vyuo. Kwa sasa yamewekwa, kwenye combination na admission za vyuo. Je, ndio kueneza udini?? Huo ni ufinyu wa akili na mawazo. Hoja yangu ya msingi,nilisema status za admission vyuoni ni masomo mawili tu yawe na minimum point nne.mfano umesoma Mfano:Combination mpya hiz:economic, business studies na islamic knowledge. Chuo kikuu utaenda na masomo mawili either economic na business studies au business studies na islamic knowledge au economic na islamic knowledge. Je, udini umeenezwa wapi??? Ukienda na economic na islamic knowledge waweza soma religions course. Udini ni upi sasa? Au ukisoma divinity, Kiswahi na English. Utaweza kwenda na kiswahi na English, au divinity na kiswahi., au English na divinity. Udini umeenezwa wapi? Lowasa (2015) , elimu,! elimu,! elimu!Swala linaloongelewa ni kuchanganya Serkali na Imani za kidini mkuu inapswa Vingine Uvielewe..
Hupaswi kukaza Shingo..
Serkali haipaswi Kuongeza nguvu katika Kueneza Dini kwa Njia yoyote ile Ni kinyume cha Katiba..
View attachment 2940739
So low!Sibishani na shoga ,mnuka mavi .
Toeni masomo ya muziki ,toeni ya sayansi sio kila mtu anapenda ,kwani kuna sehemu umalazimsihwa ?
Kauze huko kwa wanaume.!
Lazima utakuwa graduate wa madrasa!Sibishani na shoga ,mnuka mavi .
Toeni masomo ya muziki ,toeni ya sayansi sio kila mtu anapenda ,kwani kuna sehemu umalazimsihwa ?
Kauze huko kwa wanaume.!
We jamaaa huwa li jinga fulani unaandika tu hovyo hovyo kwenye hoja za kisomiHyo masomo umewekewa wewe ? Mwanaume kufuatulia mambo yasiyokuhus ni red flag.
Kama mambo hayakuhusu kaa kimya ,fuata yako..
Huo upumbavu wenu wa atheist peleka kwenu .🤣🤣Lazima utakuwa graduate wa madrasa!
Hongera kwa kufaulu vizuri ulichofundishwa!
Wakati ule tunasema makanisa haua yanayoibuka kwa wingi ni projects za serikali ambaso zipp engineered na ‘Idara’ wengi hawakutuelewa.Siyo siri, wengi tumeshtushwa na msimamo wa sera za elimu kuanza kukumbatia udini.
Waziri Mchengerwa katoa taarifa ya masomo yanayofadiliwa KISERIKALI, masomo au Combination(Tahsusi) ambazo nyingine ni za dini. Katika hizo combination, kuna Divinity vile vile.
Sera hizi zinataka na vikao vipi vya Chama CCM, Wadau wa Elimu, au wananchi kushirikishwa, mabadiliko katika elimu yametokana na nini na kwa ridhaa ya nani?
Toa ujinga wako hapa , wapumbavu kama wewe hamna maoni ,bora mkae kimya.So low!
IQ ya GT haipo hapa!