Serikali ikiendelea kuwachekea hawa masheikh ikiamini wanaisaidia serikali watazalisha tatizo ambalo hawataweza kulitibu

Ni kama ukimsema MZUNGU unamsema MKRISTO,hivi huu ujinga mtauacha lini WAKRISTO?
Mmmmh hatuna huo ujinga sisi,mikataba kibao mibovu ya wazungu imelalamikiwa bila kujali nani aliingia,Nyerere na Magufuli hawakuwachekea wazungu hata kidogo naona mnajitukana.Eti waislam wote ni ndugu,upumbavu uliopitiliza.
 
Mmmmh hatuna huo ujinga sisi,mikataba kibao mibovu ya wazungu imelalamikiwa bila kujali nani aliingia,Nyerere na Magufuli hawakuwachekea wazungu hata kidogo naona mnajitukana.Eti waislam wote ni ndugu,upumbavu uliopitiliza.
Uongo na kujikweza ndio maisha yenu,wakati magufuli anakopa kwenye mabenki ya biashara huko kuja kufanya miradi huku wala hamkukenua vinywa vyenu,endelea kujiongopea KAFIRI
 
Sasa DPW akija, atasaidia vipi Uislam? Kwa nini masheikh wetu wanadanganyika hivi kwa mgongo wa dini? Wafanyakazi wa DPW ni Waarabu? Au ni Waislam tu?

Au kisa wamesikia ni kampuni ya Dubai? Hivi mbona Magufuli alisemwa weee, ilikuwa anasemwa kisa ni Mkristo? Kwa nini Samia asiguswe anapokosea? Maswali ni mengi inabidi hawa masheikh waulizwe /wajiulize.
Tatizo dini imezalisha mamburula mengi na yamejificha huko kwenye dini.
 
Sasa wewe mgalatia na akili zenu kubwa/nyingi kama msemavo serikali imesema unaupitia upya mkataba na kufanya marekebisho penye kadhia/makosa/mapungufu ugumu wa kuelewa uko wapi hapo,halafu nyie na akili zenu kubwa mbona bado nchi yenu hii ni masikini ombaomba na bado nyie wenyewe ombaomba na mafukara,halafu hiyo elimu ya kukaririshwa Kwa ajili ya kuoperate vitu vidogo mbona ni elimu finyu sana
wenzio kina wanasema hakuna mkataba ni makubaliano, wengine wanabwabwaje lingine, jana chongolo kasemaje! madalali hawasemi unarekebishwa. Usingevujishwa ingekuwaje? embu kuweni na akili ndugu zangu waislam mnaotetea ujinga mkidhani tupo kwenye jihad au mashindano ya kiimani, acheni. Tulizeni vichwa. Utu kwanza. Watu tulimsema sana mwendazake na ukatoliki wake japo mimi pia mkatoliki akatamani aifunge mitandao yote ya kijamii
 
Mbaya zaidi wanatumiwa mashehe Ubwabwa na akina Maalim Kitumbua! Njaa na uchawa unaliangamiza Taifa.
 
Naona wanaibuka masheikh wakitoa kauli za uchochezi moja kwa moja dhidi ya wakristo

Naomba nichukue nafasi hii kuiomba serikali isichekee kauli hizo ikidhani hao masheikh wana isaidia serikali

Ikumbukwe mjadala uliopo unatakiwa kujibiwa na serikali tuu bila kujali ni nani kauanzisha na ni wa dini gani , majibu yanatakiwa yatoke kwa serikali tu, kwa masheikh kuijibia serikali au maaskofu kuijibia serikali si sawa kabisa.

Serikali iwe makini itazalisha tatizo ambao haitaweza kulitatua kirahisi maana ikiwa masheikh wameanza kutoa maneno ya kuwasema wakristo moja kwa moja maana yake ikiwa wakristo maaskofu nao watakosa busara na wakataka kujibu tutaelekea kwenye jambo baya kuwahi kutokea nchi hii.

Serikali isiwaamini viongozi wa dini kujipa usemaji au utetezi wa serikali, majibu ya kujibiwa na serikali yajibiwe na serikali na sio sheikh au askofu kuijibia serikali.

Ikumbukwe sheikh au askofu kuihoji serikali kwa jambo ambalo wana hofu nalo sio dhambi lakini ni kosa sana viongozi wa dini kujivika utetezi wa serikali kwa namna yeyote ile.

Serikali ikemee hii hali inahatarisha usalama wa nchi mambo huwa yanaanza hivi hivi yanaanzia kwenye majibizano na baadae yakua na yanahamia kushikana mwilini ugomvi wowote huanzia kwenye maneno kwanza.

NAWASILISHA
Hii hoja ya ajabu sana! Kwamba Maaskofu wanaopinga Mkataba wa DP World wako sahihi na hawaleti uvunjifu wa amani ila Masheikh wanaounga mkono Mkataba wa DP World ndio wataleta vurugu? Hizi hoja mnazitoa wapi?
 
Hili swala halina ubishi udini ni nje nje...time wl tell....maana kuna upande wanaona ndo time ya kustawisha dini yao...
Hakuna udini wowote Ila walioishiwa hoja wanauibua makusudi ili kuzima ukosoaji Ila mwishowe watavuna wanachokipanda.
 
Hakuna udini wowote Ila walioishiwa hoja wanauibua makusudi ili kuzima ukosoaji Ila mwishowe watavuna wanachokipanda.
Nenda sehem take a simple research...chukua Muslims 10.. waulze swala la mwarabu wa DP WORLD uone wangap wanapinga ....then leta mrejesho...
 
Naona wanaibuka masheikh wakitoa kauli za uchochezi moja kwa moja dhidi ya wakristo

Naomba nichukue nafasi hii kuiomba serikali isichekee kauli hizo ikidhani hao masheikh wana isaidia serikali

Ikumbukwe mjadala uliopo unatakiwa kujibiwa na serikali tuu bila kujali ni nani kauanzisha na ni wa dini gani , majibu yanatakiwa yatoke kwa serikali tu, kwa masheikh kuijibia serikali au maaskofu kuijibia serikali si sawa kabisa.

Serikali iwe makini itazalisha tatizo ambao haitaweza kulitatua kirahisi maana ikiwa masheikh wameanza kutoa maneno ya kuwasema wakristo moja kwa moja maana yake ikiwa wakristo maaskofu nao watakosa busara na wakataka kujibu tutaelekea kwenye jambo baya kuwahi kutokea nchi hii.

Serikali isiwaamini viongozi wa dini kujipa usemaji au utetezi wa serikali, majibu ya kujibiwa na serikali yajibiwe na serikali na sio sheikh au askofu kuijibia serikali.

Ikumbukwe sheikh au askofu kuihoji serikali kwa jambo ambalo wana hofu nalo sio dhambi lakini ni kosa sana viongozi wa dini kujivika utetezi wa serikali kwa namna yeyote ile.

Serikali ikemee hii hali inahatarisha usalama wa nchi mambo huwa yanaanza hivi hivi yanaanzia kwenye majibizano na baadae yakua na yanahamia kushikana mwilini ugomvi wowote huanzia kwenye maneno kwanza.

NAWASILISHA
Siri tayari zimevuja. DPW wamewaahidi Waislamu kuwajengea Misikiti na kuwapa Futari wakati wa Ramadhan!
 
Naona wanaibuka masheikh wakitoa kauli za uchochezi moja kwa moja dhidi ya wakristo

Naomba nichukue nafasi hii kuiomba serikali isichekee kauli hizo ikidhani hao masheikh wana isaidia serikali

Ikumbukwe mjadala uliopo unatakiwa kujibiwa na serikali tuu bila kujali ni nani kauanzisha na ni wa dini gani , majibu yanatakiwa yatoke kwa serikali tu, kwa masheikh kuijibia serikali au maaskofu kuijibia serikali si sawa kabisa.

Serikali iwe makini itazalisha tatizo ambao haitaweza kulitatua kirahisi maana ikiwa masheikh wameanza kutoa maneno ya kuwasema wakristo moja kwa moja maana yake ikiwa wakristo maaskofu nao watakosa busara na wakataka kujibu tutaelekea kwenye jambo baya kuwahi kutokea nchi hii.

Serikali isiwaamini viongozi wa dini kujipa usemaji au utetezi wa serikali, majibu ya kujibiwa na serikali yajibiwe na serikali na sio sheikh au askofu kuijibia serikali.

Ikumbukwe sheikh au askofu kuihoji serikali kwa jambo ambalo wana hofu nalo sio dhambi lakini ni kosa sana viongozi wa dini kujivika utetezi wa serikali kwa namna yeyote ile.

Serikali ikemee hii hali inahatarisha usalama wa nchi mambo huwa yanaanza hivi hivi yanaanzia kwenye majibizano na baadae yakua na yanahamia kushikana mwilini ugomvi wowote huanzia kwenye maneno kwanza.

NAWASILISHA
Ni serikali hii ya CCM ndiyo imewapa hao mashehe kandarasi ya kutetea mkataba wa DP World baada ya kuelemewa na hoja za Watanganyika Wazalendo
 
Na akil zangu hizi nikae chini kupoteza muda kwenye mijadala ya kidin.. huu uzi ni mahala pa watoto
 
Naona wanaibuka masheikh wakitoa kauli za uchochezi moja kwa moja dhidi ya wakristo

Naomba nichukue nafasi hii kuiomba serikali isichekee kauli hizo ikidhani hao masheikh wana isaidia serikali

Ikumbukwe mjadala uliopo unatakiwa kujibiwa na serikali tuu bila kujali ni nani kauanzisha na ni wa dini gani , majibu yanatakiwa yatoke kwa serikali tu, kwa masheikh kuijibia serikali au maaskofu kuijibia serikali si sawa kabisa.

Serikali iwe makini itazalisha tatizo ambao haitaweza kulitatua kirahisi maana ikiwa masheikh wameanza kutoa maneno ya kuwasema wakristo moja kwa moja maana yake ikiwa wakristo maaskofu nao watakosa busara na wakataka kujibu tutaelekea kwenye jambo baya kuwahi kutokea nchi hii.

Serikali isiwaamini viongozi wa dini kujipa usemaji au utetezi wa serikali, majibu ya kujibiwa na serikali yajibiwe na serikali na sio sheikh au askofu kuijibia serikali.

Ikumbukwe sheikh au askofu kuihoji serikali kwa jambo ambalo wana hofu nalo sio dhambi lakini ni kosa sana viongozi wa dini kujivika utetezi wa serikali kwa namna yeyote ile.

Serikali ikemee hii hali inahatarisha usalama wa nchi mambo huwa yanaanza hivi hivi yanaanzia kwenye majibizano na baadae yakua na yanahamia kushikana mwilini ugomvi wowote huanzia kwenye maneno kwanza.

NAWASILISHA
Askofu Maximilian anaona ufahari kuupinga uwekezaji wa DP World katika mahubiri yake kanisani, anachosahau ni kuwa Hunchingson wanaomiliki TICTS ni wakristo waliokaa pale TPA kwa miaka 22.

Huo ukweli hawezi kuuona kwa sababu waliomjaza ujinga ni wakristo wenzetu kwamba waarabu waliotutawala wanarudi tena kwa mlango wa uwekezaji!, hawakumwambia kuwa TICTS ya wakristo imefanya kazi hiyo hiyo kwa miaka 22 katika eneo hilo hilo!.

Samia anashambuliwa chini kwa chini na sisi wakristo, baadhi yetu tunajiona kama vile kwenye simu zetu kuna namba za kina Yesu, Yakobo na Mtume Petro, tunajihesabia haki tukisahau kuwa wapo waislam wengi tu.
 
Back
Top Bottom