Naishauri serikali ya CCM ifanye haraka kukamata watu wote waliogomea sensa. Hao wataenda kuhesabiwa magerezani. Wakishahesabiwa iwaachie huru kwa kuwa wakiendelea kukaa gerezani wataleta-'damage' kwenye bajeti ya wizara ya mambo ya ndani.
Swali ninalojiuliza na kunihangaisha ni kama hivi:Nini sensa, wagegomea pia kujiandikisha vitambulisho vya uraia. Wakati wa kuandikisha vitambulisho vya uraia hawa hawa waliamka saa 9:00 alfajiri kuwahi ofisi za watendaji. Ni wanafiki kama nini.
Swali ninalojiuliza na kunihangaisha ni kama hivi:Nini sensa, wagegomea pia kujiandikisha vitambulisho vya uraia. Wakati wa kuandikisha vitambulisho vya uraia hawa hawa waliamka saa 9:00 alfajiri kuwahi ofisi za watendaji. Ni wanafiki kama nini.