tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Wakati siku za sensa ya watu na makazi zikikaribia, wanachi wenye imani ya dini ya Kiislamu, wamezidi kusisitiza kuwa kama kipengele cha dini hakitawekwa hawatahesabiwa ng'o. Maamuzi hayo yalifikiwa siku ya jumamosi tarehe 7/7/2012 katika mkutano wao uliofanyika mjini Arusha.
Walisema siku ya sensa Waislamu wataandika mabango yanayosomeka SIHESABIWI na kuyaweka kwenye milango ya nyumba zao. Mkutano huo ulihudhuriwa na Pro. Lipumba aliyekuwa mgeni rasmi. Pia katika mkutano alikuwepo Mh. Tundu Lissu.
My take: Serikali isipochukua hatua stahiki itatumia fedha nyingi katika zoezi la sensa ambalo halitakuwa na matokeo tarajiwa.
Walisema siku ya sensa Waislamu wataandika mabango yanayosomeka SIHESABIWI na kuyaweka kwenye milango ya nyumba zao. Mkutano huo ulihudhuriwa na Pro. Lipumba aliyekuwa mgeni rasmi. Pia katika mkutano alikuwepo Mh. Tundu Lissu.
My take: Serikali isipochukua hatua stahiki itatumia fedha nyingi katika zoezi la sensa ambalo halitakuwa na matokeo tarajiwa.