Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,754
Waziri nape. Piga marufu matumizi ya Filters instagram. Kule ndani kila binti mzuri, ana ngozi ya kiulaya ulaya na mwonekano wa kuvutia.
Unamtumia nauli.... Unakuja mwona live.... Sura haina ung'aavu ambao aliuonesha kule insta au fb. Hii si sawa. Ni utapeli kabisa. Mimi mara 3 sasa nimewarudisha mademu makwao na kuahirisha ku cheza na games.
Mwingine nlimwona kabisa na hips... Na sura ngozi nzuri. Kuja onana naye kiuno cha kutafuta. Nikapiga simu kutaka uliza mbona hajaja yeye kaamua kumtuma mwingine. Akapokea huyu wa pili ninayemwona. Na sauti ni ile ile.
Nikamuuliza hips zake kaacha wapi.... Akainama hakujibu. Nlimwambia tu si mwaminifu amalizie kinywaji arudi home akapumzike.
Imagine muda nliopoteza? Imagine jinsi ambavyo ameumiza hisia zangu? Imagine pesa nliyompa? Je hii ni halali? Huu si ni utapeli kama utapeli mwingine? Serikali ipo wapi? Why inaacha wananchi wake tuumizwe?
Unamtumia nauli.... Unakuja mwona live.... Sura haina ung'aavu ambao aliuonesha kule insta au fb. Hii si sawa. Ni utapeli kabisa. Mimi mara 3 sasa nimewarudisha mademu makwao na kuahirisha ku cheza na games.
Mwingine nlimwona kabisa na hips... Na sura ngozi nzuri. Kuja onana naye kiuno cha kutafuta. Nikapiga simu kutaka uliza mbona hajaja yeye kaamua kumtuma mwingine. Akapokea huyu wa pili ninayemwona. Na sauti ni ile ile.
Nikamuuliza hips zake kaacha wapi.... Akainama hakujibu. Nlimwambia tu si mwaminifu amalizie kinywaji arudi home akapumzike.
Imagine muda nliopoteza? Imagine jinsi ambavyo ameumiza hisia zangu? Imagine pesa nliyompa? Je hii ni halali? Huu si ni utapeli kama utapeli mwingine? Serikali ipo wapi? Why inaacha wananchi wake tuumizwe?