Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kuna waraka rasmi umetolewa na serikali kuwaomba Askari polisi wawe wavumillivu kwani mishahara yao itachelewa kutoka hadi kwenye tarehe za katikati za mwezi ujao. Askari polisi niliongea nao wanasema sasa kila atakayeingia kwenye vituo vya polisi ataingia bure lakini atatoka kwa hela mpaka hapo watakapolipwa mishahara yao.
Sijui tunaelekea wapi. Tunisia,Misiri au Libya!!?
Sijui tunaelekea wapi. Tunisia,Misiri au Libya!!?