BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
|
| |
|
|
| |
|
Tabia ya kuchelewa kuchukua hatua za kutatua matatizo anazionyesha yeye mwenyewe! Z'bar hata kuweje hatosema kitu, anaachaga matatizo hapa anaenda zake kubembea davos and the like.
Huko kwenye kufuga rushwa na ubadhirifu, mmh! Sijui anajisema? Haya, sasa anajua hayo ndo yanawakasirisha watwana, anachukua hatua gani beyond tabasamu?