hizi za kila episode story mpya tafuta leverage au burn notes,hehehe kama utalala,mbavu zinachoka unageuza lingine
nikitulia nitazitafuta aisee, tatizo now cna muda sn wa kuwatch movies, wiki nzima najikuta nimeangalia episod moja, ila tazitafuta nikitulia, i hope ni nzuri, zinahusu nn?
leverage wao ni kama group linalojitegemea kusaidia waliotapeliwa,mtu akitapeliwa wao wanamtapeli tapeli husika mpaka anafilisika,halafu burn notes jamaa aliachishwa kazi,akawa anamtafuta mbaya wake
Sawyer nilimkubal sana kwenye season 1 pale ambapo wenzie wanahangaika kutoka nje ya island baada ya ndege kuangua jamaa alikua calm sana alikua karelax ansoma zake novel benjamin linus nae alifanya vizur ila season za mwishon alipoa sana
Ingia web inaitwa kickasstorrent. But lazima uwe na utorrent software kwenye PC ndiyo utaweza kupakua.Msaada wa link au web ya kupakua the americans
aisee kila nikidownload yaani hazionyeshi poa,picha mbovu,sijui ni computer yangu au niniIngia web inaitwa kickasstorrent. But lazima uwe na utorrent software kwenye PC ndiyo utaweza kupakua.
Hapo utapata kila kitu kuanzia muvi,series, books,games na vitu vingi
Sorry ningekuwekea link but natumia phone
Mkuu in real life Ana Lucia nimtata but movie nyingi huwa anakufa
hivi zile series za mwendelezo wa matukio na zile za kila episode kitu kipya ipi inavutia?
hivi wakuu series kama vampire diary mtu unaangaliaje na kutulia wakati unajua ni kitu hakiexist,inaweza ikavutia kwa story ila mi nikishaona kitu ambacho hakipo in real life nakosa hamu.
nikitulia nitazitafuta aisee, tatizo now cna muda sn wa kuwatch movies, wiki nzima najikuta nimeangalia episod moja, ila tazitafuta nikitulia, i hope ni nzuri, zinahusu nn?
Ukiona ivo haijakunogea iyo...mi niliacha kwenda baa wiki nzima kwa ajili ya 24 live another day nkawa nikitoka job kazi kuwatch tu.
Aisee... we acha tu! Mie mara kibao tu nimekuwa nikijaribu tena na tena nikitaka kuamini labda nilikuwa kwenye bad mood, lakini wapi... at the end, naishia kuu-delete tu manake huwa nahisi hata pc yenyewe huwa inashindwa tu kusema kwamba inaogopa mamijidudu niiloyipa kuitunza! we unatunza dude linalomeza mibuyu....
Bwana eh! Unakuta mtu anaisifia hadi anakupa hamu... unaamua ngoja uitafute! Sema siku hizi nimeshashituka... mtu movie/series hata aisifie namna gani; lazima ni-google kwanza... nikishakuta ma-zombie/vampires, full ma Sci-Fi, ma-fantasy; kisha nikakuta watu wamevaa yale manguo ya kirumi na majambia yao... ahaaaa... naondoka taratiiiiiibu!!!
Mkuu Nikita nishatazama seasons zote 4.....haifiki hata robo kwa 24 japo ni nzuri
aisee kila nikidownload yaani hazionyeshi poa,picha mbovu,sijui ni computer yangu au nini
aisee kila nikidownload yaani hazionyeshi poa,picha mbovu,sijui ni computer yangu au nini