Series (Special thread)

najifunza mnoo! ila sasa kuwakariri watu hivyo na uhusika wao ktk movies tofauti ndio cwezagi, hata majina yao halisi siyajuagi wala kuyatilia maanani, zaidi ni majina wanayotumia kwenye movie

Mie starehe yangu kubwa ni kujua crew nzima ikiongozwa na director....
Movie ndio maisha yangu ilifikia kipindi chuo kizima walikuwa wanakuja kuchukua movie kwangu...
Na ili niangalie movie or series lazima nijue actor na director.
 
Mi series za 2014 nilizopenda
:tyrant
:24 live another day
:the last ship(ina swaga la ebola)
: scandal(saivi naona wapo kwenye winter break)
:revenge

usisahau na
the 100
extant
under the dome
revolution(inasadikiwa imezuiliwa kuendelea na no 3)
arrow( ingawa hii cjaipenda kianzia s3)
 
Yan zile flushback za lost uspokua makini hutaelewa kuna ile sehem ambapo john lock alikufa alaf island ikamrudisha

john alikufa kweli! ila black smoke(brother of jacob) akaamua kuchukua umbo lake na kulitumia kama kiongozi ili kumlaghai benjamin linus amuue jacob! na benjamin pasipo kufahamu kwamba yule sie john akamuua jacob walipotoka nje ndio wanauona mwili wa john halisi!
 
usisahau na
the 100
extant
under the dome
revolution(inasadikiwa imezuiliwa kuendelea na no 3)
arrow( ingawa hii cjaipenda kianzia s3)

Revolution nilipenda season 1 tuu ilikuwa nzuri kwangu ya pili sikuipenda.
Hiyo Arrow sijui kwanini kwangu haina mashiko yaan ts too fictional niliangalia hadi episode 10 season 1 nikashindwa endelea.
Hizo nyingine ulizo mention sijawahi ziona ntazitafuta.
 
24HRS nikiboko

Nimeangalia series nyingi tu ikwemo prison break,arrow,nk but 24hrs niboko yao...

kama ukiangalia 24hrs yaani movee zote za action utaona wanaiga 24hrs

Nashukuru sana kwa kuliona hiloo...ndio maana najikuta naikubali zaidi blacklist coz walau wanajitofautisha kidoogo...
Ila jamaaa wa 24 mtu mbaya sana.kafanya wengine wakifanya kitu naanza kuikumbuka yenyewe tuu...
Hata hizi movie za white house down na zingine za hivo naona wanaenda mule mule alimopita mtunzi wa 24.


24 ndio series pekee ambayo nimeirudia zaidi ya mara mbili kwa season zote tisa(can you imagine???)
 
Mara nyingi ni maslahi ila kwa case ya lost ilikuwa ni ngumu kukeep mastaa maana ndio series iliyokuwa na characters wengi kama ilivo Game of Thrones halafu location yake ilikuwa Hawaii na New Zealand so inatakiwa wakapige kambi huko huko hapo ndio inawashinda mastaa na by the time Michelle alikuwa staa Mkubwa..
Mi napenda udirector sana ndio maana napendaga filamu ambazo zinakuwa ngumu kuzitengeneza kama ilivokuwa kwa lost na inavoendelea Game of throne...
J.J Abraham alitumia aidia ya kipekee na nzuri sana katika lost ndio maana alipotengeneza Revolution akaleta theme kama za kwenye lost kuanzia costume mpaka location

Game of thrones ni kitabu mzeee....na kuna kipindi kulikua na uchambuzi wa kinachofanyika ktk TV show na yaliyomo kwa kitabu kama kuna uhalisia flani..especially ishu ya utabibu kwa yule lanister aliekatwa mkono na akakaa karibu siku mbili bila kuwa attended jamaa wanamind inakua uongo mwingi.
 
Mie starehe yangu kubwa ni kujua crew nzima ikiongozwa na director....
Movie ndio maisha yangu ilifikia kipindi chuo kizima walikuwa wanakuja kuchukua movie kwangu...
Na ili niangalie movie or series lazima nijue actor na director.

umenikumbusha nilipokuwa chuo i had a friend alikuwa na begi la movie, teh ndiko nilikokuwa naazima na mie, yaani yule movie iko damuni, hata mm napenda sana movie na ndio starehe yangu ila naona tunatofautiana viwango aisee
 
teh! teh! hatutifautiani! ukiianza inaboa, ep 1 na 2 lakini ukiingia ya tatu na kuendelea hutaiweka chni! na ndipo utakapoelewa who is jack bower!

ni kweli aiseee, kuna dada yangu nilimsimulia kuwa ni movie nzuri akaitamana kumpa akaishia episod ya kwanza, akaniuliza movie gani hii sasa!! cku nyingine nikakaa naye ili aconcetrate, weee alipomnogea hakuiacha mpaka ikaisha
 
Nashukuru sana kwa kuliona hiloo...ndio maana najikuta naikubali zaidi blacklist coz walau wanajitofautisha kidoogo...
Ila jamaaa wa 24 mtu mbaya sana.kafanya wengine wakifanya kitu naanza kuikumbuka yenyewe tuu...
Hata hizi movie za white house down na zingine za hivo naona wanaenda mule mule alimopita mtunzi wa 24.


24 ndio series pekee ambayo nimeirudia zaidi ya mara mbili kwa season zote tisa(can you imagine???)

24 is.my.best series ever
 
ni kweli aiseee, kuna dada yangu nilimsimulia kuwa ni movie nzuri akaitamana kumpa akaishia episod ya kwanza, akaniuliza movie gani hii sasa!! cku nyingine nikakaa naye ili aconcetrate, weee alipomnogea hakuiacha mpaka ikaisha

Mkuu series gani ulipata mengi ya kujifunza
 
Game of thrones ni kitabu mzeee....na kuna kipindi kulikua na uchambuzi wa kinachofanyika ktk TV show na yaliyomo kwa kitabu kama kuna uhalisia flani..especially ishu ya utabibu kwa yule lanister aliekatwa mkono na akakaa karibu siku mbili bila kuwa attended jamaa wanamind inakua uongo mwingi.

Sijakupata point yako...but hakuna asiyejua kama Game of thrones ni mfululizo wa vitabu vilivyoandikwa na vinavyoendelea kuandikwa na mwandishi George R.R Martin..
Sasa unapolinganisha uhalisia kwenye filamu na kitabu wakati macreater wa hii filamu David Beniof na Weiss wanamshilikisha kwenye kutengeneza mwandishi wake George martin hapo sioni mantiki..
Halafu inatakiwa ujifunze kitu kimoja kitabu ili kiwe filamu lazima kiandaliwe script zitakazo tumika nahii ni kazi ya creater na si mtunzi.
Na kuna script nyingine haziandikiki na muvi haiwezi kutoka 100% kama kitabu coz kunamengine wanaongeza,wanapunguza au kunogesha.
Kama we mpenzi wa Muvi fatilia utengenezaji wa muvi ya The Lord of the Rings ya Peter Jackson kutoka kitabu cha mtunzi J.l.l.Tolkien utagundua kuna tofauti kubwa ya kitabu na muvi,wameacha mambo mengi ambayo yanaweza kutoa muvi tatu nyingine ndio maana anaendelea kutoa The Hobbit kwa kuchanganya na alivyoviacha.
Kuna utamaduni wa muvi pia unazingatiwa sana kwenye utengenezaji wake mfano Jaime lannister alipokatwa mkono suala la kusurvive 2 days ni minor case especially kwa wahusika wakuu ningeshangaa sana ungeuliza mbona adui anapigwa ngumi moja tu anakufa...maana huo ndio utamaduni wa Hollywood Movies
 
Nlikua naangalia series ya Banshee , story nzuri sana na inamkasa mzuri, mahusiano,usaliti, action za kutosha na full kuvuana blauz na sketi.

Nimempenda sana actress aliyetumia jina la anastazia(ivana milicevic) wish nimuone zaid na zaid amecheza vzuri sana.Ni type za kina ana Lucia but nahc kamfunika
 
Last Ship ni one of my best series kwa 2014... naisubiria kwa hamu season 2... sambamba na Power as well as Legends huku nikiisubiria kwa hamu January 28 kwa ajili ya Season 3 ya The Americans ambayo kwangu mimi ndo best pure spying series.

2014 kwangu best was 24 live another day na last ship na power na blacklist pamoja na arther
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom