kowaski
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 585
- 551
one for the lord hahaha mkuu japo me situmii but nakupa hongera na nahamini ukiwa mtu wa movie vitu vingne visivyo na maana vitakuepuka ...koz nikitoka job nawahi series homemimi mbona chuo nlimaliza mwaka 2009 na sasa hivi ni muajiriwa wa shirika moja kubwa sana la hifadhi ya jamii na pia ni mjasiriamali ambaye nina ndoto lukuki
kuangalia movies na serie ni starehe sawa na starehe nyingine na haijalishi umri wala position uliyokuwa nayo
napenda sana movies na series sababu ndio zilizoniondoa kwenye matumizi ya pombe kupitiliza(addicted) na sasa nakunywa pombe kiasi (one for the lord) na muda mwingi wa ziada nautumia kwenye kuangalia movies na kushughulika katika shughuli za kimaendeleo.
mbona na wewe ni mgeni sana hapa JF,hapo na sisi tuseme nini?