BENJAY
Member
- Aug 18, 2013
- 56
- 19
Inaitwaje hii movie
Ramsey anaakiri sana usishangae ikawa ngumu kumtoa winter fell nataka nione Brandon stark atafanya nini na ability zake!
Hii ni series gani mkuu?
Kupenda movies ni moja ya starehe nzuri sana. Unapata burudani na maarifa kwa mkupuo. Nakupongeza sana. Mie pia napenda sana movies. Kila siku lazima nicheki kidogo nikifika home.mimi mbona chuo nlimaliza mwaka 2009 na sasa hivi ni muajiriwa wa shirika moja kubwa sana la hifadhi ya jamii na pia ni mjasiriamali ambaye nina ndoto lukuki
kuangalia movies na serie ni starehe sawa na starehe nyingine na haijalishi umri wala position uliyokuwa nayo
napenda sana movies na series sababu ndio zilizoniondoa kwenye matumizi ya pombe kupitiliza(addicted) na sasa nakunywa pombe kiasi (one for the lord) na muda mwingi wa ziada nautumia kwenye kuangalia movies na kushughulika katika shughuli za kimaendeleo.
mbona na wewe ni mgeni sana hapa JF,hapo na sisi tuseme nini?
naomba kazi mkuu..#nikoSeriousmimi mbona chuo nlimaliza mwaka 2009 na sasa hivi ni muajiriwa wa shirika moja kubwa sana la hifadhi ya jamii na pia ni mjasiriamali ambaye nina ndoto lukuki
kuangalia movies na serie ni starehe sawa na starehe nyingine na haijalishi umri wala position uliyokuwa nayo
napenda sana movies na series sababu ndio zilizoniondoa kwenye matumizi ya pombe kupitiliza(addicted) na sasa nakunywa pombe kiasi (one for the lord) na muda mwingi wa ziada nautumia kwenye kuangalia movies na kushughulika katika shughuli za kimaendeleo.
mbona na wewe ni mgeni sana hapa JF,hapo na sisi tuseme nini?
Judging the Book by its cover..,nlskia hivo ila coz namuelewa Sanaa ntafatilia sana story interview na info kiundan hazina ukweli hivi shonga anaweza kuwa strong kivile shoga anaweza kukimbia kias kile jmn kama hakuna uhakika wa hiyo kitu tu mchunie manake wa bongo
,nlskia hivo ila coz namuelewa Sanaa ntafatilia sana story interview na info kiundan hazina ukweli hivi shonga anaweza kuwa strong kivile shoga anaweza kukimbia kias kile jmn kama hakuna uhakika wa hiyo kitu tu mchunie manake wa bongo
sorry mkuu mimi sio muajiri katika ajira yangu but ninauwezo wa kukusaidia katika icho ingawa sio kwa 100%naomba kazi mkuu..#nikoSerious