Series (Special thread)

Ramsey anaakiri sana usishangae ikawa ngumu kumtoa winter fell nataka nione Brandon stark atafanya nini na ability zake!

kweli Ramsey sio mtu wa kumuendea kichwa kichwa ndio maana hata Stannis Baratheone alichapwa kutokana na ubishi wake wakutofata ushauri coz Devos alimwambia winterfell kuna more than 5,000 solders wakati yeye ana 2,000 solders so akupaswa kwenda

but kupigwa lazima apigwe tu hapo bado sijawaweka kulee Vale kwenye moon door ambapo Littlefinger ameenda kumshawishi yule dogo na amekubali
 
mimi mbona chuo nlimaliza mwaka 2009 na sasa hivi ni muajiriwa wa shirika moja kubwa sana la hifadhi ya jamii na pia ni mjasiriamali ambaye nina ndoto lukuki

kuangalia movies na serie ni starehe sawa na starehe nyingine na haijalishi umri wala position uliyokuwa nayo
napenda sana movies na series sababu ndio zilizoniondoa kwenye matumizi ya pombe kupitiliza(addicted) na sasa nakunywa pombe kiasi (one for the lord) na muda mwingi wa ziada nautumia kwenye kuangalia movies na kushughulika katika shughuli za kimaendeleo.

mbona na wewe ni mgeni sana hapa JF,hapo na sisi tuseme nini?
Kupenda movies ni moja ya starehe nzuri sana. Unapata burudani na maarifa kwa mkupuo. Nakupongeza sana. Mie pia napenda sana movies. Kila siku lazima nicheki kidogo nikifika home.
 
mimi mbona chuo nlimaliza mwaka 2009 na sasa hivi ni muajiriwa wa shirika moja kubwa sana la hifadhi ya jamii na pia ni mjasiriamali ambaye nina ndoto lukuki

kuangalia movies na serie ni starehe sawa na starehe nyingine na haijalishi umri wala position uliyokuwa nayo
napenda sana movies na series sababu ndio zilizoniondoa kwenye matumizi ya pombe kupitiliza(addicted) na sasa nakunywa pombe kiasi (one for the lord) na muda mwingi wa ziada nautumia kwenye kuangalia movies na kushughulika katika shughuli za kimaendeleo.

mbona na wewe ni mgeni sana hapa JF,hapo na sisi tuseme nini?
naomba kazi mkuu..#nikoSerious
 
Kama kawa my first and top TV show prison break sasa maandalizi Ya season 5 yameisha stay tuned bonge la season soon will be released

Jamani nimeona kionjo chake but mpaka sasa sijajua ratiba za kuwa hewani......Hii haijapataga mpinzani
Haya ni baazi ya matukio ktk prison break katika picha.
1473964223453.jpg
1473964278177.jpg
1473964302774.jpg
1473964331405.jpg
1473964359833.jpg
1473964397541.jpg
1473964426574.jpg
1473964449632.jpg
1473964478856.jpg
1473964507942.jpg
1473964545842.jpg
1473964568943.jpg
1473964590532.jpg
1473964616985.jpg
1473964642605.jpg
1473964668112.jpg
 
,nlskia hivo ila coz namuelewa Sanaa ntafatilia sana story interview na info kiundan hazina ukweli hivi shonga anaweza kuwa strong kivile shoga anaweza kukimbia kias kile jmn kama hakuna uhakika wa hiyo kitu tu mchunie manake wa bongo
Judging the Book by its cover..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom