that's true ILA mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe,tungekuwa na umoja WA kuzomea wanasiasa mafisadi wanaokula pesa zetu nafikiri tungefanya mambo la maana
sasa niliwai kumsikia mwenyewe na masikio yangu redion akimwambia qchief kua kashapotea hawezi kushinfana na yeye kimziki kihela na kwa kila kitu kwa sasa yeye kashafulia
achilia mbali masela wake wa kko waliohastle nae kabla hajatoka maana mpaka leo wanamchukia jamaa kawapotezea wana wanabembeleza kolabo anawapotezea ndio maana wamejoin team kiba
Pointless...
Wewe ni Great Thinker. ....
Dharau mbaya,huku kwetu Tabata kuna jamaa mchoma nyama anaitwa Mfojo,alianza dharau baada ya kushika pesa zetu za kutosha hivi sasa sio Mfojo tena bali ni Mchovu yeye na wafanyakazi wake utafikiri hawajawahi kushika thumni!watu wamewasuasa.
Bado Ma Mushka wafanyakazi wake wana nyodo.
Kwani wewe hawala yake daimond ee?
Dah unaakili sana kijana.
Waaaacha nicheke hahahahahaaaaaaaaa....diamond kama jaja tu,jaja alivyoifunga azam wakasema huyu ndio mwenyewe leo wanasema hana kitu kwishney so na domondo kwishney
Unakataza watu wasimchukie chibu wakati wewe unaongoza kwa chuki kwa ally kiba .toa kibanzi kwanza kwako
binaadam huwezi kusaidia Kila mtu aliyekusadia,kuhusu q chief yeye ndiye WA kwanza kumchokoza diamond,chief alimtuhumu dia anamloga
haya mumemzomea diamond...tusubiri tumuone huyo alikiba kama ataweza kupenya kimataifa na kuwa nominated katika tuzo kama BET&MTV....watanzania huwa mnaroho ya uchoyo.,hampend mafanikio ya mtu...