Kateka Sanza
Member
- Jun 8, 2013
- 44
- 8
Nimemsikiliza Mh. Mkuu wa Kaya marudio ya hotuba yake ya mwisho wa mwaka akisema kwamba serikali imeandaa Sera mpya itakayowezesha elimu ya sasa kuendana na hali ya dunia ya leo. Je utekelezwaji wake kweli unaweza leta tija kwa watanzania?
Maana bado cielewi BIG RESULT NOW katka elimu kama imefanikiwa au la. Tirilika hapa mwanazuoni.
Maana bado cielewi BIG RESULT NOW katka elimu kama imefanikiwa au la. Tirilika hapa mwanazuoni.