SENSA: Nini faida yake?

Sasa hapo kwenye kudhulumiwa sensa inahusika vipi? Huoni kuwa itakuwa imekusaidi kufanya maamuzi sahihi? Kukataa kuhesebiwa hasara yake inakurudia wewe mwenyewe.

niambie hasara ya mimi kutohesabiwa na nipe faida ambayo ntaipata nikihesabiwa maana hata mwaka 2002 sikuhesabiwa pia,,,,,,kama leo unahamasisha SENSA, jitahidi basi uhamasishe KUPIGA KURA,,,,maana watanzania hatupendi kupiga kura,kufanyiwa chanjo,hata usajili wa line za simu nao ulikua na utata,,,,,,KABLA SIJAMALIZA NIPE FAIDA NA HASARA ZINAZONIGUSA DIRECTLY
 
wajumbe wengi wa JF ni wakufuata upepo unapovumia hawatumii akili zao kufikiri wao wako kule wanakopelekwa ndiko huenda poleni sana leo munamsapoti kisha akija mtu na mada kama hiyo ya kusapoti sensa nae munamkubalia eee hii kali wapi misimamo yenu wakubwaa

Same people wanatukana watu kwenye threads zingine kwa kugomea sensa bora vyuo vifunguliwe watoto wapungue jamvin
 
Ndiyo maana nchi yangu haiendelei. Kama mtoa maada utakuja kuwa kiongozi wa hii nchi, basi tutegemee madudu hayahaya mnayo yalalamikia kwa CCM.

Hakuna budget inayopangwa bila kujua catchment population ya eneo husika. Mpango mkakati wa kudhibiti aina fulani ya ugonjwa lazima uzingatie takwimu ya ugonjwa huo ndani ya jamii husika (Disease Prevalence).

Uagizwaji wa madawa katika hospitali lazima useme kwa mwaka umehudumia wagonjwa wangapi, na ni ugonjwa gani umewaathiri watu ewngi(hapa takwimu inatakiwa siyo blah blah).

Bila sensa(takwimu halisi), tutakuwa tuna panga budget ambayo siyo halisi(realistic), mwisho wake lawama kwa serikali. Kama leo tusipopata idadi ya watu iliyo halisi hauoni hata hao CDM mtawapa wakati mgumu kama watachukuwa nchi 2015?

Watapanga nini wakati watu hamtaki kutoa taarifa sahihi zinazosaidia katika maendeleo.?

Tuache ujinga. Kama tatizo ni serikali iliopo, basi tugomee kila huduma inayo tolewa na serikali: Mfano Tugome kwenda kutibiwa hospitali za serikali, Tugome kuweka fedha kwenye taasisi zote za fedha za serikali, Wafanyakazi wagome kufanya kazi na kugoma kupokea mishahara ya serikali dhalimu, Tugome Kupanda vibuko vya serikali (mfano Kigamboni), Tugome kwenda kupeleka mashitaka mahakamani au Polisi, Tugome, Kwawale wanao tumia umeme wa Tanesco nao wote wanyofoe meter zao au service line ili wasitumie umeme wa shirika la serikali,Watoto wetu au wadogo zetu wanopewa mkopo na serikali nao wagome kupokea mikopo hiyo.

Tukifanya hivyo serikali hii ndani ya siku 3 itaondoka madarakani maana nguvu ya umma ya kususia huduma zote za serikali itakuwa imefanya kazi. LAKINI kama huduma hizo bado tutaendelea kuzifuata kutoka serikali hii, basi UNAFIKI TUACHE sensa ikifika tujitokeze kuhesabiwa kwa faida ya serikali tunayoitaka kuanzia 2015.
 
Mtoa maada umenifanya kuungana na waislamu kukataa sensa haina faida hata kidogo kwani Jk Ng'ombe amegawaje Arusha......Huu ujumbe wangekuja nao waislam hakika kungekuwa hakuna shida sasa
 
Ndiyo maana nchi yangu haiendelei. Kama mtoa maada utakuja kuwa kiongozi wa hii nchi, basi tutegemee madudu hayahaya mnayo yalalamikia kwa CCM. Hakuna budget inayopangwa bila kujua catchment population ya eneo husika. Mpango mkakati wa kudhibiti aina fulani ya ugonjwa lazima uzingatie takwimu ya ugonjwa huo ndani ya jamii husika (Disease Prevalence). Uagizwaji wa madawa katika hospitali lazima useme kwa mwaka umehudumia wagonjwa wangapi, na ni ugonjwa gani umewaathiri watu ewngi(hapa takwimu inatakiwa siyo blah blah). Bila sensa(takwimu halisi), tutakuwa tuna panga budget ambayo siyo halisi(realistic), mwisho wake lawama kwa serikali. Kama leo tusipopata idadi ya watu iliyo halisi hauoni hata hao CDM mtawapa wakati mgumu kama watachukuwa nchi 2015? Watapanga nini wakati watu hamtaki kutoa taarifa sahihi zinazosaidia katika maendeleo.?
Tuache ujinga. Kama tatizo ni serikali iliopo, basi tugomee kila huduma inayo tolewa na serikali: Mfano Tugome kwenda kutibiwa hospitali za serikali, Tugome kuweka fedha kwenye taasisi zote za fedha za serikali, Wafanyakazi wagome kufanya kazi na kugoma kupokea mishahara ya serikali dhalimu, Tugome Kupanda vibuko vya serikali (mfano Kigamboni), Tugome kwenda kupeleka mashitaka mahakamani au Polisi, Tugome, Kwawale wanao tumia umeme wa Tanesco nao wote wanyofoe meter zao au service line ili wasitumie umeme wa shirika la serikali,Watoto wetu au wadogo zetu wanopewa mkopo na serikali nao wagome kupokea mikopo hiyo.Tukifanya hivyo serikali hii ndani ya siku 3 itaondoka madarakani maana nguvu ya umma ya kususia huduma zote za serikali itakuwa imefanya kazi. LAKINI kama huduma hizo bado tutaendelea kuzifuata kutoka serikali hii, basi UNAFIKI TUACHE sensa ikifika tujitokeze kuhesabiwa kwa faida ya serikali tunayoitaka kuanzia 2015.
Mkuu huko hospitali unakozungumzia huduma hazitolewi bure.

ukinihesabu usiponihesabu bado nitatibiwa kwa pesa zangu na kama sina hizo pesa ndio basi tena nachungulia kaburi.

Halafu mbaya zaidi hata ukiwa na kadi ya bima bado kuna usumbufu wa
kutosha.

Inawezekana wewe unashabikia kwa kuwa umepata nafasi ya UKARANI

Halafu umenishangaza hapo uliposema NDIO MAANA NCHI YETU HAIENDELEI

Utakuwa hutofautiana sana na mtu mmoja ambaye alisema hajui kwa nini Tanzania ni maskini. Hivi hapo kabla watu wamewahi kugomea sensa, sasa kama nchi haiendelei kwa sababu ya SENSA kwanini Sensa zilizopita hazijafanikiwa kuifanya nchi iendelee?
 
Kama waislamu wangekuja na hoja hizo nne kama zako, hata mie ningevaa kibandiko na makubazi kwenda kuwasikiliza. Lakini wao hoja yao ya msingi ni "sisi wengi" na "wao ni wachache"

Sasa kama wao ni wengi wanatakia nini kipengele cha dini?
1. Ili tuwaajiri.......?
2. Tuwatafutie wake.......?
3. Tuwasaidie waislamu tu walio walemavu........?
4. Tulee watoto wa waislamu tu.......?

Hatuwachukii waislamu isipokuwa tunasema sensa ya waislamu ifanyike misikitini wanakoswali.

acha ubwege wko, we vipi msimamo wa wislmu ni huu, eidh serikali iweke kipengele au km haiwezekani kwa busra zake basi isitishe tkwimu zinazotolew ama na mtu, au tasisi yoyote kwani wamezipata wapi......ach kuropok wewe
 
Waathiika wa HIV wanapata dawa bure za kuongeza maisha
shule za kata ni bure hakuna ada....
elimu chuo kikuu wanafunzi wanakopeshwa

na mengineeyo meengi ambayo Sensa itasaidia sana

Mnahesabiwa ili muibiwe hakuna lolote hapo!
 
Kama waislamu wangekuja na hoja hizo nne kama zako, hata mie ningevaa kibandiko na makubazi kwenda kuwasikiliza. Lakini wao hoja yao ya msingi ni "sisi wengi" na "wao ni wachache"

Sasa kama wao ni wengi wanatakia nini kipengele cha dini?
1. Ili tuwaajiri.......?
2. Tuwatafutie wake.......?
3. Tuwasaidie waislamu tu walio walemavu........?
4. Tulee watoto wa waislamu tu.......?

Hatuwachukii waislamu isipokuwa tunasema sensa ya waislamu ifanyike misikitini wanakoswali.

acha ubwege wko, we vipi msimamo wa wislmu ni huu, eidh serikali iweke kipengele au km haiwezekani kwa busra zake basi isitishe tkwimu zinazotolew ama na mtu, au tasisi yoyote kwani wamezipata wapi......ach kuropok wewe

Hapa sasa anayeropoka ni nani baina yangu na wewe?
 
Sensa ni zoezi ambalo halina faida kabisa kwa watanzania hususani sensa
hii itakayofanyika. Serikali isiyowajali wanchi wake itafanya nini baada ya
kuwahesabu zaidi ya kuwa ni zoezi au njia ya kutengeneza nafasi ya kufisadi
pesa zetu?

Nitakapokujibu sina kazi utaniajiri?
Nitakapokujibu sina mke utaniozesha?
Nikisema kuna mlemavu utanisaidia?
Watoto utawalea....................?

Ajabu! kwa serikali hii hii ambayo memba wengi tumekuwa
tukiilalamikia leo tunaiunga mkono katika zoezi la sensa kwa
faida ya nani?

Tuache unafiki hata kama tunawachukia waislamu ukweli unabaki
pale pale kuwa sensa haina faida kabisa kabisa kwa Watanzania.
Hakuna huduma yoyote itakayoboreshwa na serikali ya CCM eti kwa
sababu ya kuhesabiwa. Wangekuwa wameanza hapo kabla
tungeamini kuwa ni kweli wana nia nzuri.................

Labda hawa wanaounga mkono kuna manufaa wanayapata.

Serikali ya msumbiji inatoa huduma kwa wazee na kusaidia
mambo mbalimbali ya kijamii. Sensa yake inazingatia kuboresha
huduma hizo.

SENSA YETU IMELENGA KUSAIDIA JAMBO GANI?

Ndugu mimi kinachoniuma zaidi ni kuwa wanafunzi wanaondolewa mashuleni kisha sensa. Kweli Kikwete huyu ni wa kutupa kwenye shimo. Hao wanafunzi hawawezi kuhesabiwa shuleni? Kweli huu usmbufu wa serikali dhhaifu unatuumiza sana sisi wazazi na watoto kwa ujumla.

Hakuna taifa duniani linalofanya hivi vituko kwa CCM. Kama alivyosema msemaji mzee hasadiwi, ngonjwa, kilema, mtoto na wengine.

Unatuhesabu ili nini? Kwani tumekuwa ngombe? Huduma za jamii hazipo na zile chache haziridhishi kwa namna yeyote ile. Kisha sensa ili kusaidia tu mafisadi. Tumechoka na hii serikali Dhaifu kuliko serikali zote duniani.
 
Sensa ni muhimu kwa nchi yoyote ile duniani. Sensa inasaidia Serikali mbali mbali duniani kupanga mikakati ya maendeleo katika sekta mbali mbali zikiwemo elimu na afya lakini kwa nchi yetu kama sensa inasaidia Serikali kupanga mikakati ya kuleta maendeleo kwa Wananchi wake mbona maendeleo hayo hatuyaoni nchini mwetu?

Sensa ya mwisho ilifanyika mwaka 2002 je Serikali inaweza kuchanganua kwa kina matokeo ya sensa hiyo yamesaidiaje katika kuleta maendeleo kwa Watanzania? Kama hakukuwa na maendeleo yoyote kati ya mwaka huo wa 2002 na 2012 je tatizo lilikuwa lipi?
 
Mtoa mada umenifanya nitafakari upya, Serikali hii inashindwa
kuboresha hata hospitali zetu, hili halihitaji sensa, Duuh. Madaktari
wanalalamika Hospitali hazina vifaa, Sidhani kama barabara mbovu
nazo zinahitaji Sensa duh ipo kazi.

Sensa sio kuhesabu watu peke yake, kuna kipengele cha huduma za jamii kama maji, elimu, afya, miundombinu, n.k. Halafu pia makarani wa sensa wanapiga 'mpunga'
 
Sasa naelekea kukubaliana na Serikali kwa uamuzi wake wa kutaka kutumia MABAVU kushinikiza Sensa ifanyike kwa sababu ikikutana na jamaa kama hawa akina......basi patachimbika.Nguvu inayotumiwa na Serikali kwenye zoezi hili kama ingetumiwa kuhimiza maendeleo ya Wananchi wake tungekuwa mbali sana Kitaifa na Kimataifa.Hureeeeeeh.
 
tatzo kubwa ndani ya taifa hili kila mtu anajifanya anajua mambo hata ambayo hayajui. Kila mtu anajifanya professional wa kila kitu. Naona watu wanajribu kuelezea sena eti haina umuhimu wakati kila nchi inafanya sensa.

Huwezi andaa project bila kujua kuna watu wangapi eneo husika. Mfano wanaoandika miradi lazima waoneshe kuna population ya watu wangapi na utafaidisha watu wangapi eneo hilo. Iwe ni mradi funded by government au other donors lazma wahitaji statistical data.

Serikali inabidi ijue ina human labour kiasi gani, na wategemezi kiasi gani.
Jamani watanzania tuache kulalamika kwa kila kitu yani kuna vitu vingine vya muhimu yani badala ya kusonga mbele sisi tunarudi zama za mawe watu hawataki hesabiwa. Hao hao ndio wanafanya zikusanywe takwimu ambazo si sahihi halafu baadae walalamike.

Mtu anajisifia kwa mbwembwe zote eti sensa iliyopita hakuhesabiwa na haija muaffect. Si ajabu kuto hesabiwa kwake kumeleta negative effect kwa mtu mwingine kwakuwa anafaidi supply ya huduma ambazo yeye hakuwa included wakati wa sensa.
 
Waathiika wa HIV wanapata dawa bure za kuongeza maisha
shule za kata ni bure hakuna ada....
elimu chuo kikuu wanafunzi wanakopeshwa

na mengineeyo meengi ambayo Sensa itasaidia sana

vipi kuhusu madawati, vitabu, upimaji wa ardhi, je, ina maana serikali mpaka leo haijajua ina wanafunzi wangapi wanaohitaji madawati shuleni????

wakubwa acheni unafiki, mbona hata huko vyuoni malalamiko yapo kila leo??? ina maana serikali bado haijajua ni wanafunzi wangapi wanaohitaji mikopo???
 
Sensa ni zoezi ambalo halina faida kabisa kwa watanzania hususani sensa
hii itakayofanyika. Serikali isiyowajali wanchi wake itafanya nini baada ya
kuwahesabu zaidi ya kuwa ni zoezi au njia ya kutengeneza nafasi ya kufisadi
pesa zetu?

Nitakapokujibu sina kazi utaniajiri?
Nitakapokujibu sina mke utaniozesha?
Nikisema kuna mlemavu utanisaidia?
Watoto utawalea....................?

Ajabu! kwa serikali hii hii ambayo memba wengi tumekuwa
tukiilalamikia leo tunaiunga mkono katika zoezi la sensa kwa
faida ya nani?

Tuache unafiki hata kama tunawachukia waislamu ukweli unabaki
pale pale kuwa sensa haina faida kabisa kabisa kwa Watanzania.
Hakuna huduma yoyote itakayoboreshwa na serikali ya CCM eti kwa
sababu ya kuhesabiwa. Wangekuwa wameanza hapo kabla
tungeamini kuwa ni kweli wana nia nzuri.................

Labda hawa wanaounga mkono kuna manufaa wanayapata.

Serikali ya msumbiji inatoa huduma kwa wazee na kusaidia
mambo mbalimbali ya kijamii. Sensa yake inazingatia kuboresha
huduma hizo.

SENSA YETU IMELENGA KUSAIDIA JAMBO GANI?

Hivi idadi yenu nyie watindiga unaifahamu huko porini? tukusaidieje sasa?
 
Naunga mkono hoja,sensa kwa tanzania ni kupoteza fedha bure tu! Kwa serikali inayowajibika sensa ni muhimu ila kwa tz wizi mtupu!
 
Back
Top Bottom