Mmasihiya
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 389
- 170
Sensa ni muhimu, matokeo ya sensa yatatumiwa na hii serikali kwa miaka mitatu ijayo yaani hadi 2015 ila matokeo hayohayo yatatumika hadi 2022.....Nina imani kubwa kwamba serikal itakayoingia madarakani 2015 na 2020 itatumia matokeo ya sensa yatakayopatikana mwaka huu kuleta maendeleo kusudiwa.