kikokwe
Member
- Apr 7, 2012
- 66
- 25
sijaona taarifa yoyote kwenye media zetu kuzungumzia semina za usimamizi wa mtihani wa drs 7 kuanza leo ambayo wasimamizi wake ni baadhi ya walimu wa sekondari, walimu wa msingi ambao hawakushiriki kwenye mgomo wa walimu nchi nzima na ambao ndio hao hao waliotumika kwenye zoezi la sensa. Kundijingine ambao wanaweza kuwemo kwenye usimamizi wa mitihani hiyo kutokana na upungufu wa kundi la walimu wanaowahitaji ni askari polisi pamoja na makamanda wa pccb. Jamani kwa kisasi hiki kinachofanywa na jk pamoja na watendaji wakuu wa serikali yake vina mustakali wa kweli na wahaki katika kutoa elimu iliyobora kwa wananchi wa tanzania yetu?